Kwa kuwa namwelewa mwizi wa kura zangu ni CCM.
Nimetambua kuwa ni wajibu wakuhamasisha wanaharakati na vyama mbadala kufanya kazi ya ziada ili kuelimisha wapiga kura kubaini wezi wa kura hata kabla ya kupiga kura kwani wezi nao hufanya maandalizi mapema ya kupiga kura. Kazi hii nimeshaanza na ninaendelea kufanya, sihitaji kulipwa na mtu, nattumia raslimali nilizonazo kkufanikisha kazi hii ngumu. Ni muda mzuri kila mwenye nia njema na nchi kushiriki katika kuhamasisha wananchi kushiriki kikamilifu katika kuzilinda kura zao.
Naomba kama una mbinu za ziada za kulinda kura utushirikishe ili tuzitumie.