KWANZA NTAPITIA KWA RAGENenda Mirembe waulize mashabiki wa Yanga kwa nini ni vichaa wote
Hii siku ya leo ikipita salama, basi ushukuru. Maana unaonekana mwili umepanda joto to the maximum thermometer!🌡️Kama wewe ni mkazi wa maeneo ya Goba Njia Nne au karibu na maeneo hayo, lazima utakuwa unaijua hii night club iliyopo njia ya Madale kwenye huu mteremko mbele kidogo ya stendi ya bajaj za Madale.
Nipo hapa leo hii naisindikiza ijumaa na kuikaribisha weekend murua ya watani wa jadi.
Natoa offer ya vinywaji 6 vya kwanza kwa mwanaJF yeyote atayefika hapa
Ukifika kaunta ulizia meza ya Aunt Betty kwa mhudumu yeyote atakuleta nilipokaa
Karibuni wanaJF
Lishangazi umetumwa Nini[emoji1][emoji1][emoji1]Kama wewe ni mkazi wa maeneo ya Goba Njia Nne au karibu na maeneo hayo, lazima utakuwa unaijua hii night club iliyopo njia ya Madale kwenye huu mteremko mbele kidogo ya stendi ya bajaj za Madale.
Nipo hapa leo hii naisindikiza ijumaa na kuikaribisha weekend murua ya watani wa jadi.
Natoa offer ya vinywaji 6 vya kwanza kwa mwanaJF yeyote atayefika hapa
Ukifika kaunta ulizia meza ya Aunt Betty kwa mhudumu yeyote atakuleta nilipokaa
Karibuni wanaJF
Napenda sana kampani, sema leo sinywi. Raha yangu ninywe kidogo naongea English iliyonyooka. Ila nipo Goba pia jiraniKama wewe ni mkazi wa maeneo ya Goba Njia Nne au karibu na maeneo hayo, lazima utakuwa unaijua hii night club iliyopo njia ya Madale kwenye huu mteremko mbele kidogo ya stendi ya bajaj za Madale.
Nipo hapa leo hii naisindikiza ijumaa na kuikaribisha weekend murua ya watani wa jadi.
Natoa offer ya vinywaji 6 vya kwanza kwa mwanaJF yeyote atayefika hapa
Ukifika kaunta ulizia meza ya Aunt Betty kwa mhudumu yeyote atakuleta nilipokaa
Karibuni wanaJF
Kiarano unapajua.nielekeze upo wapi nikufuate. Nipo na full tank