Weka proof ya hayo yote uliyoyaandika
Au sabahu unayasoma
Sasa wewe nawe ni wale wale fata mikumbo
Na hao wanaowavuta waambie watumie akili kudanganya hata CIA waavute kuwafanyia kazi.
Fata mkumbo fata porojo
Na bado mtaisoma namba hadi mtie cheche mkitembelea miguuu
Makonda oyeeeeeee
Huwezi nielewa kwa kuwa ushaamua wimbo wa kuimba....Kwa hiyo watu wapige kimya kuhusu elimu ya RC na wanaoendelea kuondomewa ktk nafas zao kisa vyeti wale sio watu ni nyau wale daaa kalamu yangu nimekusoma
okay tumskiziekama ajaliongelea hilo kwenye misa ya leo basi yawezekana ikawa kweli maana ile ndo sehemu yake ya kutolea ya moyoni
namsikilizia kama ataliongelea akipiga kimya atawapa watu nafasi ya kuunganisha dotiokay tumskizie
Keshasema anawaleta wazazi wa huyo mama na baba wa huyo mtotonamsikilizia kama ataliongelea akipiga kimya atawapa watu nafasi ya kuunganisha doti
Mbona kama unaanza kuwa mpole? Hujamalizia na Mashite Oyeeee![emoji13]Akijibu kitu leo basi ni kweli.
Kama kiongozi wa dini mtukufu inapaswa awaombeebkimya kimya wanaomsema na sio jutamvaza chuki.
Katika Biblia uliona sehemu gani mtume au Nabii akikemea maovu kimya kimya ?Akijibu kitu leo basi ni kweli.
Kama kiongozi wa dini mtukufu inapaswa awaombeebkimya kimya wanaomsema na sio jutamvaza chuki.
Wewe huamuniki umetanguliza mapenzi sana kwa BashiteAkijibu kitu leo basi ni kweli.
Kama kiongozi wa dini mtukufu inapaswa awaombeebkimya kimya wanaomsema na sio jutamvaza chuki.
Ulivyoandika kama bata vile!Akijibu kitu leo basi ni kweli.
Kama kiongozi wa dini mtukufu inapaswa awaombeebkimya kimya wanaomsema na sio jutamvaza chuki.
Mbona hii sura ya huyu mwanamke ni ya kitapeli na inajisuta yenyewe!!Nahisi hizi ni chuki na come back za Bashite. Kama aliweza kugushi vyeti, hashindwi kulipa mwanamke aseme mimi nina mtoto wa Gwajima!