Mwanamfalme wa Saudi Arabia atoa rambirambi kwa Trump kufuatia mauaji ya Florida

Mwanamfalme wa Saudi Arabia atoa rambirambi kwa Trump kufuatia mauaji ya Florida

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Shirika la habari la jimbo la Florida limesema mwanamfalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman amempigia simu Rais Donald Trump na kutoa rambirambi zake kwa familia na wahanga wa tukio la ufyatuaji risasi lililofanyika katika kambi ya wanamaji ya Florida hapo jana.

Mwanamfalme huyo pia amemuhakikishia Rais Trump kuwa Saudi Arabia itatoa ushirikiano unaotakikana kwa Marekani na itatoa taarifa zozote zinazohitajika katika uchunguzi wa tukio hilo.

Wachunguzi wanaamani kuwa luteni wa jeshi la angani la Saudi Arabia alifanya shambulizi hilo pekeyake alipowauwa watu watatu na kuwajeruhi wengine wanane huko Pensacola, Florida.

Kulingana na shirika la upelelezi la Marekani FBI, mwanajeshi huyo wa Saudi Arabia aliuwawa baadae kwa kupigwa risasi na afisa wa polisi.
 
Huyu mfalme Salman,kwa wasiofahamu kipindi Yuko balozi enzi Osama na kashika headline,kuliwahi kutwa ramani za targets za marekani ambazo alqaida wangetumia kuzishambulia,
Huyu alikuwa sponsor wa bin laden bila hata kupepesa macho.
Wamarekani walimkaukia tu I'll kudumisha mahusiano na Saud arabia
 
In 2001, NATO forces raided the SHC’s Sarajevo offices, discovering a treasure trove of terrorist materials: before-and-after photographs of al Qaeda attacks, instructions on how to fake U.S. State Department badges, and maps marked to highlight government buildings across Washington.

The Sarajevo raid was not the first piece of evidence that the SHC’s work went far beyond humanitarian aid. Between 1992 and 1995, European officials tracked roughly $120 million in donations from Salman’s personal bank accounts and from the SHC to a Vienna-based Bosnian aid organization named the Third World Relief Agency (TWRA). Although the organization claimed to be focused on providing humanitarian relief, Western intelligence agencies estimated that the TWRA actually spent a majority of its funds arming fighters aligned with the Bosnian government.

A defector from al Qaeda called to testify before the United Nations, and who gave a deposition for lawyers representing the families of 9/11 victims, alleged that both Salman’s SHC and the TWRA provided essential support to al Qaeda in Bosnia, including to his 107-man combat unit. In a deposition related to the 9/11 case, he stated that the SHC “participated extensively in supporting al Qaida operations in Bosnia” and that the TWRA
 
... kwanini hakutoa ushirikiano kama huo kwa Uturuki kufuatia mauwaji ya Jamal Khashogi? Unafiki unachangia pakubwa maangamizi ya dunia.
 
Back
Top Bottom