Mmmh Aminah anakwambia walikutana kwenye ndege ( naona ishakuwa fashion sasa)Sidhan kama alikataa yeye nahisi wazazi wake waligoma asibadili dini
Afu kiba katafutiwa mke na yule jamaa mkenya rafik yake
YaaniDiana angekuwepo sijui ingekuwaje RIP
Waingereza ni conservative sanaa!!hawanaga upuuzi wq ajabuJamani Kim hajaalikwa atakuwa kajisikia vibayaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anavyojionaga keki
Si alikuwa amegoma huyu mbibi kisa Meghan ni divorcée?Malkia Elizabeth nae kafika kanisani kushuhudia harusi ya mjukuu wake
Tatizo gundu Numbisa....hii dunia ngumu sana!
Si unaona hata huko Uvccm walivyommwaga? Si mapenzi si kazi yaaan!
Ingependeza mnooo...Diana angekuwepo sijui ingekuwaje RIP
Nani akaribishe " attention seeker? Unaijua Buckingham au unaisikia?Kim Kardashian hajaalikwa na kanye?
Hawatakagi ujinga wale hawanaga shoboNani akaribishe " attention seeker? Unaijua Buckingham au unaisikia?
SawaaWaingereza ni conservative sanaa!!hawanaga upuuzi wq ajabu
Hawapendi eeeNani akaribishe " attention seeker? Unaijua Buckingham au unaisikia?
Nilifikiri Bibi harusi atakuja na msafara Wa magari kama harusi zetu za uswahilini lkn kaletwa na gari NNE tu afu hazijapambwa hata kidogo ,ila ndo nimeanza kuziona leo sijui za vita ya pili ya dunia wazungu bana
Hawapendi ujinga au kick za ajabu ajabu wale ile ni koo ya kifalmeHawapendi eee
Si alikuwa amegoma huyu mbibi kisa Meghan ni divorcée?
Ila Liz anavyompenda Harry nilijua tu a lazima atatia timu!
Yes kwenye lift...guess what?Jigga ni mhuni nakumbuka alishapigwa km sikosei na solange vilee
Aisee nimecheka hiyo gari ya Bi harusi ni ya miaka mingi kwao ni traditional. Bi harusi make up simple ila amependezaNilifikiri Bibi harusi atakuja na msafara Wa magari kama harusi zetu za uswahilini lkn kaletwa na gari NNE tu afu hazijapambwa hata kidogo ,ila ndo nimeanza kuziona leo sijui za vita ya pili ya dunia wazungu bana
Aiseeeh!!hii Kali hii daahh!!!Yes kwenye lift...guess what?
Eti alikuwa anamla demu mmoja fundi cherehani ( kama wolper vile[emoji28] [emoji28] [emoji28]
Anaitwa Roy sijui, solange akaona sasa we shem kiboro chako kimefika pabayaa, akamtwanga makonde!
Jay ana demu mwingine anaitwa shannete kamzalisha mtoto wa kiume, sema kampa mtaji huyo bidada!
Ana mtoto mwingine mkubwa 20+wamefanana hao ila kamkana
Na mademu kibao tu stripers
Beckham nae mwingi!Na mvumilivu kashfa za mmewe km hazioni
Wasiachane bwana daahh!Beckham nae mwingi!
Mwaka Jana Posh alitaka kuivunja hiyo ndoa, sijui ikawaje tena!
JamaniHawapendi ujinga au kick za ajabu ajabu wale ile ni koo ya kifalme
Yule chelsy .Harry alikuwa bad boy ila baadae alibadilika.ila kakaake hakuwa na skendo za wanawake kabisa .Yule aliemuoa mapenzi yao yalidumu miaka mingi tangu chuoEx yupi mkuu? Maana Harry ana mademu wengi sana
Wa mwisho kabla ya Meghan anaitwa Chelsy Davy? Ndo huyo?