Aimen[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]As usual "the good always die young" vizuri huwa havidumu maishani ila wale watu mizigo na tatizo huwa hawafi haraka maana shetani huwa hajisumbui kuwawinda, anawaachaga waendelee kublock mitkasi ya wenzao then wanakuwa wanamsaidia kazi zake.
Satan is smart and strategic.
Hopefully, they are in better place now.
Hallelujah!
Haya it's official Harry himself didn't invite Theresa May, Donald Trump, Barack Obama!
Basi tu Harry hakujisikia kuwakaribisha![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Harry mwehu!
List ya wageni Harry alikuwa ameishikilia mwenyewe!Halafu media ziliongelea na walisema Obamas wangealikwa lakini sio Trumps..
List ya wageni Harry alikuwa ameishikilia mwenyewe!
Wanatajwa watu yy anakata tu!
Alikulia na kulelewa Anglican, baadaye akawa anahudhuria misa Katoliki sababu ya mkewe, but hakuwa mtu wa dini kihivyo na hilo la ukatoliki alikiri baadaye. Nadhani hii trend ya Uanglican wataibadili pale ambapo watatenganisha kiti cha ufalme na kanisaTony Blair alikuwa mkatoliki mkuu!
Ok mkuu!....basi Harry kamchomolea asihudhurie harusi yakeAlikulia na kulelewa Anglican, baadaye akawa anahudhuria misa Katoliki sababu ya mkewe, but hakuwa mtu wa dini kihivyo na hilo la ukatoliki alikiri baadaye. Nadhani hii trend ya Uanglican wataibadili pale ambapo watatenganisha kiti cha ufalme na kanisa
List ya wageni Harry alikuwa ameishikilia mwenyewe!
Wanatajwa watu yy anakata tu!
Mmmh...trump je? Na huyo May?Heheh!, Viongozi wa Serikali na waliopita inaonekana ndio walikatwa
Hivi ile ya William nahisi alicheza mle mle uingereza!Sikumbuki ya William kuwa na celebrities kama wa leo
Jamani kapendezaaa mumuwacheee mzuri kweliiSuper model gani sijui na ushamba ule
Atakuwa hakutaka tu wahudhurie hao wanasiasa ili kumaintain political neutrality ya Royal family maana ingelazimu akimwalika May pengine amwalike na mpinzani wake Cobyn. Royal family inatakiwa kutojihusisha na ushabiki wa kisiasa, japo naona wangewaalika tu sababu ya umuhimu wa vyeo vyaoOk mkuu!....basi Harry kamchomolea asihudhurie harusi yake
Haijatajwa sababu!
Yule alikuwa anaongea na bold ndio patnership wa ontario halaf ukute wanaigiza tu lao moja[emoji23] [emoji23] [emoji23] wabongo ni watu wa kusamehe watasamehe yataisha ila daaah!!!!wabongo tunajua Kuibiwa
Mmmh...trump je? Na huyo May?
Atakuwa hakutaka tu wahudhurie hao wanasiasa ili kumaintain political neutrality ya Royal family maana ingelazimu akimwalika May pengine amwalike na mpinzani wake Cobyn. Royal family inatakiwa kutojihusisha na ushabiki wa kisiasa, japo naona wangewaalika tu sababu ya umuhimu wa vyeo vyao
Chura haipo jamani Behaviourist wapiMajina yana mengi sana na kuna mengi ya kujifunza kwenye sayansi ya majina na effect zake.
Kikawaida, Diana ni jina lenye kubeba hisia za kupendwa, mahaba mazito na usaliti sana katika mapenzi.
Michael Jackson tangia akiwa mtoto alitokea kumpenda sana Diana Rose aliemzidi umri mrefu tu na Diana alionesha kumpenda Michael japo ilikuwa ni kinafiki na kutokana na future ya Michael kuonekana kuwa bright and promising in music career since akiwa kwenye band ya home kwao ya Jackson 5...maisha yakaendelea then baada ya Diana kupata money and fame kutoka kwa wacko jacko via super success ya MJ akamtosa Michael na kwenda kwa mwanaume aliempenda kwa dhati moyoni mwake since day one...hapa ndio Michael akacompose ngoma Kali iliyofanya vizuri ya "dirty Diana " humo kamtandika Diana kwa maneno ya kukausha uzazi msemo wa wit..lol!
Fortunately, mwaka 1988 alikuwa na concert kubwa sana pale London na princess Diana alihudhuria, Michael akaona sio busara kuimba dirty Diana inaweza kumuhudhi princess kutokana na lugha kali iliyomo ndani ya ngoma na akatibua sherehe maana Diana nae ana magumu ya mapenzi yaliyokuwa yanamsibu.. Alipotaka kukaushia Diana akapeleka notes pale stejini kwamba anaupenda sana wimbo wa dirty Diana na angependa kuona Michael anauimba live..maana ndio favorite song yake hiyo. Loh! Michael hakuamini na kama kawaida yake...aliitendea haki ngoma hadi mamoniwalk na performance ya kukumbukwa Daima.
princess Diana was special!, though this life was never meant for someone as beautiful as her. Gone too son. View attachment 781528View attachment 781529
Hadi obama rafiki yake ahahaha aliona watu ,halaf Harry ndio aliamua nani aje nani aisjeHaya it's official Harry himself didn't invite Theresa May, Donald Trump, Barack Obama!
Basi tu Harry hakujisikia kuwakaribisha![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Harry mwehu!
Hehe I was out of touch with current affairs, give me time to be up to dated
All the guests were people who are directly connected to the couple, no politicians or government officials.
Jamaniii!akili za bangiiiHaya it's official Harry himself didn't invite Theresa May, Donald Trump, Barack Obama!
Basi tu Harry hakujisikia kuwakaribisha![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Harry mwehu!