kaburunye
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 672
- 79
MKAZI wa MKAZI wa Kiwalani, Bi. Halima Thomas (28) amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kujibu mashtaka ya kumkata uume mume wake.Mwanamke huyo alisomewa mashtaka hayo mbele ya Hakimu Mfawidhi, Joyce Minde.
Upande wa mashtaka ukiongozwa na Wakili wa Serikali, Nassoro Katuga ulidai kuwa mshtakiwa alifanya kosa hilo Agosti 27, mwaka huu saa 6 usiku, Kiwalani Yombo jijini Dar es Salaam.
Aliileza mahakama kuwa kwa makusudi mshtakiwa alimkata uume mume wake (jina tunalihifadhi) kwa kutumia kisu na kumsababishia maumivu makali mwilini mwake.
Baada ya kusomewa mashtaka, mshtakiwa alikiri kosa hilo na mahakama inasubiri taarifa kutoka kwa daktari ili imsomee hoja za awali.
Nje ya mahakama, mshtakiwa alidai kuwa amefanya hivyo kwa ajili ya kumkomesha mume wake ambaye anadai kuwa amemwambukiza virusi vya Ukimwi.
"Nasikitika kwa kumkata kidogo ule uume, ningejua ningeumalizia kabisa ili usifanye kazi tena kwani ataendelea kusambaza Ukimwi kwa wanawake wengine," alidai mshtakiwa.
Mshtakiwa yupo rumande na kesi itatajwa tena Oktoba 12, mwaka huu.Kiwalani, Bi. Halima Thomas (28) amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kujibu mashtaka ya kumkata uume mume wake.Mwanamke huyo alisomewa mashtaka hayo mbele ya Hakimu Mfawidhi, Joyce Minde.
Upande wa mashtaka ukiongozwa na Wakili wa Serikali, Nassoro Katuga ulidai kuwa mshtakiwa alifanya kosa hilo Agosti 27, mwaka huu saa 6 usiku, Kiwalani Yombo jijini Dar es Salaam.
Aliileza mahakama kuwa kwa makusudi mshtakiwa alimkata uume mume wake (jina tunalihifadhi) kwa kutumia kisu na kumsababishia maumivu makali mwilini mwake.
Baada ya kusomewa mashtaka, mshtakiwa alikiri kosa hilo na mahakama inasubiri taarifa kutoka kwa daktari ili imsomee hoja za awali.
Nje ya mahakama, mshtakiwa alidai kuwa amefanya hivyo kwa ajili ya kumkomesha mume wake ambaye anadai kuwa amemwambukiza virusi vya Ukimwi.
"Nasikitika kwa kumkata kidogo ule uume, ningejua ningeumalizia kabisa ili usifanye kazi tena kwani ataendelea kusambaza Ukimwi kwa wanawake wengine," alidai mshtakiwa.
Mshtakiwa yupo rumande na kesi itatajwa tena Oktoba 12, mwaka huu.
MY TAKE: Wanaume mnaoendekeza infedility kaane chonjo. Kuna siku mama watoto ataamua atoe hio kitu inayokusumbua kutoka nje ya ndoa ukose jumla kabisa.
Upande wa mashtaka ukiongozwa na Wakili wa Serikali, Nassoro Katuga ulidai kuwa mshtakiwa alifanya kosa hilo Agosti 27, mwaka huu saa 6 usiku, Kiwalani Yombo jijini Dar es Salaam.
Aliileza mahakama kuwa kwa makusudi mshtakiwa alimkata uume mume wake (jina tunalihifadhi) kwa kutumia kisu na kumsababishia maumivu makali mwilini mwake.
Baada ya kusomewa mashtaka, mshtakiwa alikiri kosa hilo na mahakama inasubiri taarifa kutoka kwa daktari ili imsomee hoja za awali.
Nje ya mahakama, mshtakiwa alidai kuwa amefanya hivyo kwa ajili ya kumkomesha mume wake ambaye anadai kuwa amemwambukiza virusi vya Ukimwi.
"Nasikitika kwa kumkata kidogo ule uume, ningejua ningeumalizia kabisa ili usifanye kazi tena kwani ataendelea kusambaza Ukimwi kwa wanawake wengine," alidai mshtakiwa.
Mshtakiwa yupo rumande na kesi itatajwa tena Oktoba 12, mwaka huu.Kiwalani, Bi. Halima Thomas (28) amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kujibu mashtaka ya kumkata uume mume wake.Mwanamke huyo alisomewa mashtaka hayo mbele ya Hakimu Mfawidhi, Joyce Minde.
Upande wa mashtaka ukiongozwa na Wakili wa Serikali, Nassoro Katuga ulidai kuwa mshtakiwa alifanya kosa hilo Agosti 27, mwaka huu saa 6 usiku, Kiwalani Yombo jijini Dar es Salaam.
Aliileza mahakama kuwa kwa makusudi mshtakiwa alimkata uume mume wake (jina tunalihifadhi) kwa kutumia kisu na kumsababishia maumivu makali mwilini mwake.
Baada ya kusomewa mashtaka, mshtakiwa alikiri kosa hilo na mahakama inasubiri taarifa kutoka kwa daktari ili imsomee hoja za awali.
Nje ya mahakama, mshtakiwa alidai kuwa amefanya hivyo kwa ajili ya kumkomesha mume wake ambaye anadai kuwa amemwambukiza virusi vya Ukimwi.
"Nasikitika kwa kumkata kidogo ule uume, ningejua ningeumalizia kabisa ili usifanye kazi tena kwani ataendelea kusambaza Ukimwi kwa wanawake wengine," alidai mshtakiwa.
Mshtakiwa yupo rumande na kesi itatajwa tena Oktoba 12, mwaka huu.
MY TAKE: Wanaume mnaoendekeza infedility kaane chonjo. Kuna siku mama watoto ataamua atoe hio kitu inayokusumbua kutoka nje ya ndoa ukose jumla kabisa.