hapata kwa kipindi alichokunywa na pia akijizoesha sana anaweza kupata shida kupata mimba kwa badaeMiss chaga fafanua kidogo, hapati mimba kwa baadae au kwa kipindi alichokunywa hizo dawa
unameza baada ya kusex ndani ya masaa 72 vinazuia mimba nilishawai kumeza mara mojaNdo vidonge gani hvyo...?! :
Kazi yake nin??
nilishawai kumeza mara moja ila ni bora kuliko kuja kutoa mimba au kuzaa na mtu haeleweki ila sitorudia kungonoka tenakama hataki mimba kwanini asitumie mbinu zingine za uzazi wa mpango kuliko kutumia hizo ECP...anahatarisha afya ya uzazi hayo madawa sio ya kuzoea kabisa.
ni kama umetoa mimba tu mana yai hua tayari lisharutubishwa..hiyo ECP inachofanya ni kuzuia yai lililo rutubishwa lisijishikize kwenye ukuta wa mimba ili kiumbe kianze kukua.nilishawai kumeza mara moja ila ni bora kuliko kuja kutoa mimba au kuzaa na mtu haeleweki ila sitorudia kungonoka tena
emergency kaka situmii tena hata ngono sifanyi tena siku nikifanya nitakuwa freeni kama umetoa mimba tu mana yai hua tayari lisharutubishwa..hiyo ECP inachofanya ni kuzuia yai lililo rutubishwa lisijishikize kwenye ukuta wa mimba ili kiumbe kianze kukua.
Hongera kwa dhamira yako yakuto zitumia tena..wahamasishe na wanawake wenzio wasizoee kuzitumia ni hatari kwa afya.
Naskia watu wanasema akitumia sana hizo dawa....siku akijifungua atakua mnene mnooo!!Heshima kwenu wanajavi, naomba mnijuze msichana akinywa vidonge vya emergency pills zaidi ya Mara moja, namaanisha Mara mbili, Kuna madhara gani?
kila la heri mkuuemergency kaka situmii tena hata ngono sifanyi tena siku nikifanya nitakuwa free
Morning after pill imetengenezwa kama emegerncy contraceptive pill, especially kwa teenagers na wanafunzi ambao hawana regular sexual enterourse sasa ikitokea umekutana na mtu mmeendea mpaka kwenye intercourse, ili kuepuka unwanted pregnancy unakunywa morning after pill. NDIYO MAANA IKAITWA MORNING AFTER PILL.Sky eclat hiyo hutokea baada ya kutumia Mara ngapi?