Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
- Thread starter
-
- #121
Bibi huwa ana hamu na mimi ajaanza leo...Ila bibi ๐น๐น๐น๐น
Siwezi siwezi yaani never ever..Tafuta bangi vuta ata pafu mbili utajanishukuru.
Umemjibu swali lake lakini? ๐นBibi huwa ana hamu na mimi ajaanza leo...
Alafu kaja kurusha tarabu hapa za aisha vuvuzela kajikausha kama sio yeye
Nimemjibu tena kwa ufasaha mtu hovyo yuleUmemjibu swali lake lakini? ๐น
Nusu ni tayari ulishajipupulia.Siwezi siwezi yaani never ever..
Niliwahi kuvuta nusu niji....ee
Ndio uhalisiaWe kuweza mkuu ahahaha mbona kama una mambo ya kichawi hivi
Mkuuu bangi acha ipigwe marufuku hvi hvi an ndo fleshNusu ni tayari ulishajipupulia.
AhahahahNdio uhalisia
Mmmh sijakupata hapa mkuuKuna wengine 5.5bilion kwa nini ujiingize kwenye migogoro isiyo ya lazima
Ahahah kuna mambo lazima tuingilie mkuu
Kuna wanawake wengine 5.5 billion kwann ugandane na mke wa mtuMmmh sijakupata hapa mkuu
Ahahaha mkuu una lugha ngumu hiyo 5.5 billion ndoKuna wanawake wengine 5.5 billion kwann ugandane na mke wa mtu
Idadi ya wanawake dunianiAhahaha mkuu una lugha ngumu hiyo 5.5 billion ndo