Mwanamke aliyeleta vurugu kwenye mkutano wa Waziri wa Afya adaiwa kutekwa na watu wasiojulikana akiwa hospitali

Mwanamke aliyeleta vurugu kwenye mkutano wa Waziri wa Afya adaiwa kutekwa na watu wasiojulikana akiwa hospitali

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Mwanamke mmoja nchini Kenya Grace Njoki Mulei, mwenye umri wa miaka 61, ameripotiwa kutekwa nyara Alhamisi mchana akiwa katika Hospitali ya Ladnan, Eastleigh, alipokuwa akiendelea na mchakato wa kupata upasuaji wa goti.

Kwa mujibu wa familia yake, watu wasiojulikana waliotumia gari aina ya Subaru Outback nyeusi lenye namba za usajili KCL 932B walimtia nguvu ndani ya gari hilo na kuondoka naye.

Ikumbukwe kuwa siku chache nyuma Njoki alipata umaarufu mkubwa nchini humo baada ya kuingia ghafla katika mkutano wa Waziri wa Afya, Deborah Barasa, tarehe 15 Januari 2025, akilalamikia changamoto za SHA katika Hospitali ya Kenyatta.

Hadi sasa, Njoki hajulikani alipo

=========================================================

Grace Njoki Mulei, the woman who stormed Health CS Deborah Barasa's meeting at Afya House on January 15, 2025, protesting SHA challenges at the Kenyatta National Hospital, has allegedly been abducted.

An official communication from her family says 61-year-old Njoki was at the Ladnan Hospital in Eastleigh on Thursday afternoon, where she was applying for a knee surgery.

Pitia Hapa: Gachagua atishia kuwataja wanaofanya utekaji

Her son says yet-to-be-identified people using a black Subaru Outback with registration number KCL 932B bundled her into the vehicle and drove away with her.

Since then, her whereabouts remain unknown.



Source: Buzzroom Kenya
 
Mwanamke mmoja nchini Kenya Grace Njoki Mulei, mwenye umri wa miaka 61, ameripotiwa kutekwa nyara Alhamisi mchana akiwa katika Hospitali ya Ladnan, Eastleigh, alipokuwa akiendelea na mchakato wa kupata upasuaji wa goti.

Kwa mujibu wa familia yake, watu wasiojulikana waliotumia gari aina ya Subaru Outback nyeusi lenye namba za usajili KCL 932B walimtia nguvu ndani ya gari hilo na kuondoka naye.

Ikumbukwe kuwa siku chache nyuma Njoki alipata umaarufu mkubwa nchini humo baada ya kuingia ghafla katika mkutano wa Waziri wa Afya, Deborah Barasa, tarehe 15 Januari 2025, akilalamikia changamoto za SHA katika Hospitali ya Kenyatta.

Hadi sasa, Njoki hajulikani alipo

=========================================================

Grace Njoki Mulei, the woman who stormed Health CS Deborah Barasa's meeting at Afya House on January 15, 2025, protesting SHA challenges at the Kenyatta National Hospital, has allegedly been abducted.

An official communication from her family says 61-year-old Njoki was at the Ladnan Hospital in Eastleigh on Thursday afternoon, where she was applying for a knee surgery.

Pitia Hapa: Gachagua atishia kuwataja wanaofanya utekaji

Her son says yet-to-be-identified people using a black Subaru Outback with registration number KCL 932B bundled her into the vehicle and drove away with her.

Since then, her whereabouts remain unknown.

View attachment 3211857

Source: Buzzroom Kenya
Sasa mzee wa miaka 61 kawakosea nini?
 
Mwanamke mmoja nchini Kenya Grace Njoki Mulei, mwenye umri wa miaka 61, ameripotiwa kutekwa nyara Alhamisi mchana akiwa katika Hospitali ya Ladnan, Eastleigh, alipokuwa akiendelea na mchakato wa kupata upasuaji wa goti.

Kwa mujibu wa familia yake, watu wasiojulikana waliotumia gari aina ya Subaru Outback nyeusi lenye namba za usajili KCL 932B walimtia nguvu ndani ya gari hilo na kuondoka naye.

Ikumbukwe kuwa siku chache nyuma Njoki alipata umaarufu mkubwa nchini humo baada ya kuingia ghafla katika mkutano wa Waziri wa Afya, Deborah Barasa, tarehe 15 Januari 2025, akilalamikia changamoto za SHA katika Hospitali ya Kenyatta.

Hadi sasa, Njoki hajulikani alipo

=========================================================

Grace Njoki Mulei, the woman who stormed Health CS Deborah Barasa's meeting at Afya House on January 15, 2025, protesting SHA challenges at the Kenyatta National Hospital, has allegedly been abducted.

An official communication from her family says 61-year-old Njoki was at the Ladnan Hospital in Eastleigh on Thursday afternoon, where she was applying for a knee surgery.

Pitia Hapa: Gachagua atishia kuwataja wanaofanya utekaji

Her son says yet-to-be-identified people using a black Subaru Outback with registration number KCL 932B bundled her into the vehicle and drove away with her.

Since then, her whereabouts remain unknown.

View attachment 3211857

Source: Buzzroom Kenya
kwani katiba yao mpya inasemaje
 
Viongozi wa Africa bana badala wamshukuru huyo mama kawapa taarifa wazifanyie kazi kuondoa hizo changamoto wao wameona wamteke.
 
Tatizo viongozi wa Afrika hawapendi kuambiwa ukweli
Tatizo kubwa zaidi,walinzi wa viongozi wa Afrika wamefuzwa kuwalinda viongozi na siyo kulinda maslahi ya Umma
 
Tatizo viongozi wa Afrika hawapendi kuambiwa ukweli
Tatizo kubwa zaidi,walinzi wa viongozi wa Afrika wamefuzwa kuwalinda viongozi na siyo kulinda maslahi ya Umma
Umeandika ukweli,
Halafu wanawaimba wananchi wawe wazalendo
 
Hivi kwanini mnahusisha issue za kuteka na serikali? Mbona sijawahi sikia serikali yyte ikijibu haya.
 
Mwanamke mmoja nchini Kenya Grace Njoki Mulei, mwenye umri wa miaka 61, ameripotiwa kutekwa nyara Alhamisi mchana akiwa katika Hospitali ya Ladnan, Eastleigh, alipokuwa akiendelea na mchakato wa kupata upasuaji wa goti.

Kwa mujibu wa familia yake, watu wasiojulikana waliotumia gari aina ya Subaru Outback nyeusi lenye namba za usajili KCL 932B walimtia nguvu ndani ya gari hilo na kuondoka naye.

Ikumbukwe kuwa siku chache nyuma Njoki alipata umaarufu mkubwa nchini humo baada ya kuingia ghafla katika mkutano wa Waziri wa Afya, Deborah Barasa, tarehe 15 Januari 2025, akilalamikia changamoto za SHA katika Hospitali ya Kenyatta.

Hadi sasa, Njoki hajulikani alipo

=========================================================

Grace Njoki Mulei, the woman who stormed Health CS Deborah Barasa's meeting at Afya House on January 15, 2025, protesting SHA challenges at the Kenyatta National Hospital, has allegedly been abducted.

An official communication from her family says 61-year-old Njoki was at the Ladnan Hospital in Eastleigh on Thursday afternoon, where she was applying for a knee surgery.

Pitia Hapa: Gachagua atishia kuwataja wanaofanya utekaji

Her son says yet-to-be-identified people using a black Subaru Outback with registration number KCL 932B bundled her into the vehicle and drove away with her.

Since then, her whereabouts remain unknown.

View attachment 3211857

Source: Buzzroom Kenya
Afrika Mashariki sio mahali salama hata kidogo, wanasiasa wenye mamlaka ndio miungu watu
 
Mimi natembea na ndizi nikiona watu siwaelewi wanakuja kwangu nawarushia ndizi kwanza wazigombanie. Nami hapo natoka mbio hao kima wakimalizana na ndizi mimi sipo kabisa🤣
 
Back
Top Bottom