Hapo unaudanganya uma....hongera kwa hilo Ila si wote wapenda pesa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mbona hujaweka vigezoNatafuta Mke mwenye maadili mema, mwenye tabia ya upole ,uvumilivu uaminifu na upendo wa dhati kwa mume. Awe na umri kuanzia miaka 25-38 kabila lolote.umri wangu miaka 40 , aliyetayari ani pm.
Mungu anakuona haki ya baba!!!Swali la msingi sana hili
Kwanini[emoji54]Mungu anakuona haki ya baba!!!
Unajiuliza tena!!!! kituko.ahahaa sijui niende
Ni pmVigezo vimewekwa mkuuu ila waliojitokeza wengine wanajaribu tu hawako serious wengine kigezo cha dini Ndio shida mimi ni mkristo
Tutafutane mimi naona unanifaaNatafuta Mke mwenye maadili mema, mwenye tabia ya upole ,uvumilivu uaminifu na upendo wa dhati kwa mume. Awe na umri kuanzia miaka 25-38 kabila lolote.umri wangu miaka 40 , aliyetayari ani pm.
Hi namba yako plzTutafutane mimi naona unanifaa
Duh bora tu utafute huko uliko...co kwenye mitandao kam hivi!Natafuta Mke mwenye maadili mema, mwenye tabia ya upole ,uvumilivu uaminifu na upendo wa dhati kwa mume. Awe na umri kuanzia miaka 25-38 kabila lolote.umri wangu miaka 40 , aliyetayari ani pm.
niichukue mie au?0717085484
Hahahahahah mamaaaaaa!!!Maskini ujana ulikula na nani? View attachment 469896