mwanamke ambaye hajaolewa vs mwanaume ambaye hajaoa.


Unajua kwanini nimesema sifa zitolewe pale zinapostahili tu dearest???Kwasababu hizo sifa bure ni moja wapo ya vigezo kwa watu kuingia kwenye ndoa. Unakuta mtu anaolewa/oa tu ili aheshimike mbele ya jamii na sio kwasababu anampenda sana mwenzake au hata kutaka kumuoa/olewa nae. Hivyo hiyo heshima ilipaswa iwe earned....ili watu wajue kwamba kuingia tu kwenye ndoa hakutoshi kukufanya uonekane unafaa sana mbele ya jamii bali matendo yako ndani ya ndoa ndio yatakayoamua hivyo.

Binafsi sishauri walioingia watoke ila nasisitiza waliopo nje wasiingie tu ili mradi.

Hahahah..alafu we unawatetea kina mama ehhh??
Siku hizi si wababa..si wamama.. wote wamekua waharibifu aisee!!!
 
DoubleR,AshaDii na Lizzy,habari za jioni.
Nina mengi ya kukwambieni kuhusu mada hii lakini sitaki.
goodnight.
Just know kwamba mengi mliyosema katu sikubaliani nayo,more importantly ni la kusema eti 'wasio na ndoa wanatamani wawe nazo' balls ! Ninachojua mimi na ni kwa uhakika wa asilimia 100 wanandoa wengi (hasa wanaume) wanatamani wangeturn back the time na waendelee kuwa ma bachelor,mnabisha? Mengine sisemi.
 



Hio paragraph in blue ndo nimekupata vema sasa.... Kwamba hizo sifa za kupaka rangi zinafanya wengi waingie mkenge, ambalo kwa kweli kwa kiasi kikubwa saana ni kweli.

Sasa wee Lizzy nitaacha kujitetea tena na hali mi pia ni mmama?? lol... ila bana tuende mbele turudi nyuma ni kweli kabisa kua woote wamekua waharibifu but wababa wamezidi bana!! Afadhali kiduchu sie akina mama.... (naomba usibishe... kwa hisani ya watu wa Marekani)
 



B' mie nitaongea na wewe kesho... Saizi uko via mobile, ni wazi kabisa upo counter ya juu....lol... Na mtu wa counter ya juu anakua sio mwenzio kabisa ki mjadala.
 


Bishanga yapi sasa usiyokubaliana nayo???

Hilo la walio nje wanazitamani hata mimi sikubaliani nalo kwa kiasi kikubwa ila wapo watu wanaozitamani sana tu.

Hehehheeh..ngoja niache hilo la wamama kama lilivyo!!!
 

Unanidai like kwa hii point! Hiyo counter ya juu safi sanaaa!
 
mhhhhhhhh! ngoja nisome tu hii kitu kwani nikiingilia ni kama ntakuwa nauondoa utamu. Shukeni mavituuuuuuuuuuz watu tudese mamaaa Asad na Lizzzzzy. shukeni mambo ila hakuna hasira mie ni refa wenu, mpo hapo!
 
 
Binafsi nina mtazamo wa kivyangu,sioni sababu ya kuwashaangaa hawa ambao wamezaa na kuamua kuishi peke yao bila ndoa iwe mwanamke au mwanaume,coz naamin kbs sio wote kati yao walikuwa wameyapanga maisha yao yaishie hivyo kila mmoja ana situation iliyomkuta na kujikuta yuko hivyo,wengine labda alikuwa na mtu wakashindwana njian na kuamua kuishi kivyake,mwingine kafikiria na kuona ndoa haina umuhimu kwake kutokana na sababu zake binafsi na kuamua kuzaa wanae na maisha yakaendelea,wapo wengi tu hawana hizo ndoa na ni watu wakubwa na wanaheshimika na jamii na wana maisha mzuri na wanalea watoto wao na wapo wenye hizo ndoa ni aibu tupu kila kukicha na wala hazina hata chembe ya maadili kiasi kwamba wanataman maisha yao ya single!
Yani ktk hili cha msingi jamii ielewe kila mtu ana haki ya kishii apendavyo ili mradi havunji sheria ya nchi wala hajamsumbua mtu kwa style yake ya maisha,kwan sio kweli kwamba wote wanao ishi bila ndoa hawana maadili.
 
B' mie nitaongea na wewe kesho... Saizi uko via mobile, ni wazi kabisa upo counter ya juu....lol... Na mtu wa counter ya juu anakua sio mwenzio kabisa ki mjadala.

haya,henken zishantoka kichwani,tuendelee na mada, na ninasisitizia msimamo wangu ule ule kwamba'waliomo wanatamani kutoka'.
 
Bishanga yapi sasa usiyokubaliana nayo???

Hilo la walio nje wanazitamani hata mimi sikubaliani nalo kwa kiasi kikubwa ila wapo watu wanaozitamani sana tu.

Hehehheeh..ngoja niache hilo la wamama kama lilivyo!!!
wanazitamani ndio,wakishaonja joto la jiwe(hasa wanaume) ndo wanaanza kutafuta mlango wa kutokea na hawauoni maana washaaza,ndo unasikia mke anamwambia mume...'halo mi nilijua kuolewa tu na sio kuachwa...'
 
 

HAHAHAHAAAAi! sina uhakika kama umefanya research au unatumia kale ka msemo "waliomo nje wanatamani kuingia ndani ya ndoa na walioko ndani wanatamani kutoka nje ya ndoa''
 

lol! Ashadii upo makini katika hii fani. nashukuru sana kwa kunidadavulia hili swala.
 

Napenda definition ya ndoa ya sheria za ndoa, si lazima harusi, si lazima mahari, si lazima vyeti. Mkikaa pamoja tu kama mke na mume zaidi ya miezi kadhaa hiyo ni ndoa. Hao pia wameooana ingawaje hawana vyeti.
 
 
nahisi wote but wanawake wanachukuliwa na jamii kuwa hawana maadili
 
Mjadala umenigusa sana ila ................... baadae kidogo!!!
 
Swali la msingi...kuoa ni maadili?...

hapo chacha me naona me naona enzi za mwalimu ilikuwa ni maadili nowdays afadhaili aliyesingle wengi wenye ndoa ndo wanamatukio ya kushangaza so ndoa sio maadili ka upande wangu ni matukio tu ya kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…