Mwanamke ambaye hana sehemu ya siri anataka mimi ndo nimuoe

GuDume

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2015
Posts
6,651
Reaction score
14,337
Huyu dada tupo naye ofisini ana miaka 32 sasa. Nadhani naye ashashtukia kuwa inaenda usiku sasa amekuja kwangu anadai ameangalia angalia ameona mimi ndo namfaa tutawezana maana nami nilikuwa kiwembe miaka ya nyuma, huyu dada namfahamu mwaka sasa, kiuhalisia hana sehemu ya siri nimecheka kwanza kwa dharau kimoyo moyo nikawaza "ujana wake atumie na nani uzee wake amalizie na mimi".

Mdada ambaye akikupa stories ameshatiana na wanaume zaidi ya 40( huyu atakuwa na sehemu ya siri? Si ni ya wazi kabis ahiyo) na yeye kuachana na mtu ni dk chache tu kila mtu anashika hamsini zake. Mimi mwenyewe nilionana naye mara moja mara ya pili nikamgonga. yaani ni wadada wa kisasa hawapendi kuzungushana kwenye masuala ya kugegedana. anaweza akamkubalia mwanaume amgegede halafu kesho akamwambia wasijuane tena.

Huyu dada yaani hata sehemu za siri hana wewe unawezaje sema una sehemu za siri wakati umeshatembea na wanaume zaidi ya watano? Hizo ni za siri au za public? Hao watano kumbuka nao wamesimulia jamaa zao wawili wawili so 10 n.k n.k sasa eti mimi nije kumuoa mtu ambaye viwanja vingi wanamjua maana ni chapombe sana huyu dada. Anapenda sana sterehe na viwanja vingine ana mazali kibao tu alishawahi kugombana na mabwana zake leo hii mimi ndo nije kujiokotea? Astaghafilwah salama leko wallah huyu dada maza fanta sana.

Nimemsikiliza tu huku niki mdeku kwa chati akiongea mwenyewe kuwa ameangalia angalia akaona mimi ndo nitamfaa na tutawezana niwe tayari hata mahari yupo tayari anichangie. Nimemwambia mimi kuoa bado sana. Kama amerogwa anaanza kunipa wosia kuwa napaswa nitulie duniani magonjwa n.k wakati yeye amegawa gawa papa tio lake watu tumekula kula then leo mimi eti niwaambie wana JF wenzangu nimepata mke? Mke mwenyewe mzobemzobe nyatunyatu? Nikakumbuka kuwa usia dada zangu ficheni sana hayo maeneo jiwekee limitation kuwa "mimi fatmalah sitaki kugegeduliwa na zaidi ya wanaume 3. siyo kila anayekuja ana weka sahihi.

Mwanamke ile sehemuinaitwa ya siri sababu inatakiwa isionwe onwe na watu lakini pia inatakiwa mwanamke akilala hivi ametanua miguu wewe mwanaume usione kule ndani kwenye siri. Sasa kuna mwanamke akitanua mapaja unaona mpaka kwenye kizazi halafu anaita sehemu yake ni ya siri siri gani sasa?

Inatokea kesho na keshokutwa unanambia sehemu ya siri inawasha au inauma, we una sehemu ya siri? Ya siri hiyo? Siri gani wanaume watano na zaidi wanaijua bado unasema ni siri? Duniani tu wanasema hamna siri ya watu wawili, wewe wamezidi wapo 7,8 40. Hivi mwanamke ambaye ametembea na wanaume kama 40 wewe unamuaoje muishi naye? Huyo hana sehemu ya siri ana sehemu ya wazi, sehemu ya public kabisa.
 
Duh....nimekuja mbio nkajua hana kinyero kumbe hahaha aiseee
 
ha ha ha... ila yeye amezidi.
Mbona wote hamna sehemu za siri sasa, na wewe si ulishamgonga na ukagonga wengine? Au na wewe mwenye sehemu za wazi unataka mwenye sehemu za siri?
 
Umeongeeeeaah, tatizo unachonga sana. Unarudia rudia maneno yale yale hadi yanaumiza macho na masikio!
Wewe unaishi kwa mazoea.
Kwamba ubongo wako uliishakariri kuwa kila mwanamke malaya anayejiuza, kamwe hawezi kubadilika na kuwa mwanamke bora wa mfano!
Kwamba mwanamke kama amelala na wanaume zaidi ya 40, hawezi kurejea na kujistahi na kuwa mwanamke bora!
Usipobadilika pakubwa, umfumo dume wako utakubungua hadi umauti.
Swali kama hilo ungelitembeza kwa jinsi zote, uone mapovu yanavyofurumia!
Kwani nani alikwambia kuwa mwanamke mzuri ni yule tu ambaye hajatembea na kukutana na mikurungu ya wanaume?
Ninakusihi kuwa mambo ya kuchagua mwenza ni mambo yasiyokuwa na kanuni, hayana mfumo.
Ukae ukielewa kuwa hata kwenye kubaka "sangi" (mob rape), kuna watu huchagua kubaka wa mwisho,ili asipate kadhia ya kupigwa kibega kuharakishwa! Je kwa hilo waweza kuliongeleaje?
 
Ha ha ha ha.... Umeamua kuja kujitetea? Over 30 years mwanamke ambaye ameshachezewa kiasi hicho sioni hata akinipa na pesa... Kama hamjitunzi shauri zenu fainali uzeeni. Sisi wanaume tuna afadhari hata kama uliwah tembea na wanawake 1000 but ni ngumu kwa mimi binafsi kuoa mwanamke aliyegongwa na wanaume hata zaidi ya 10 . kubakwa ni kitu kingine lakini si mwanamke mlevi halafu hajui kukataa

 
Unataka mtunza sehemu ya siri mkuu[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]

Mbona wewe hujajitunza?

Kwa hili utakuwa ngoma droo na yeye coz nyote sehemu zenu za siri zimekuwa za umma
 
Mwanaume wa dar utamjua tu![emoji13] [emoji13]
 
Kama namfaham vileeeeeee kha!πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰
 
Acha hizo mkuu,hata matangazo ya kazi huhitaji watu wenye uzoefu,ndio maana vyuoni Kuna kozi ya field
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…