mwanamke ambaye yuko tayri kuwa na mahusiano na hata kufunga ndoa,,

mwanamke ambaye yuko tayri kuwa na mahusiano na hata kufunga ndoa,,

Joined
Feb 11, 2013
Posts
9
Reaction score
2
jina langu ni andimile mwambona ni myakyusa wa kyela,,natafuta mwanamke ambaye yuko tayar kuwa na uhusiano na hata ikiwezekana tuwe mtu na mume.
 
mnh! mgeni mwenzagu! kuingia tu jf na kutangaza nia? haya ngoja waje wazoefu sisi wageni unaweza ukaona avatar ukafikiri ndo mwenyewe tehetehe.
 
Mtu na mume tena hata CV yako haisomeki vizuri.....
 
Jamani hata cv yako haipo na sifa za umpendaye haujaweka tutajuaje kama uko serious kija. mmmmmmmmmmmmmmh ina walakini
 
hahahah wapendwa hamuuziki?sio kila anaeandika huwa anajua anachofanya,,by the wayhaya ni maisha ya mtu na kila mtu ana lake jambo kwenye mtandao,,basi fanya jambo ambalo roho yako yapenda ufanye
 
Back
Top Bottom