Mwanamke ametumia njia ya Norplant, tarehe 12.03.2015

Mwanamke ametumia njia ya Norplant, tarehe 12.03.2015

mozambiqueone

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2014
Posts
232
Reaction score
119
Jamani, msaada. Ametumia norplant tarehe 12.03.2015. Je lini, when to have unprotected sex. Tukutane baada ya siku 2, 3, 4, 5. Help
 
Hi Mozambiqueone
Ninavyofaham mimi; Kama mwanamke atawekewa Norplant akiwa kwenye hedhi (kati ya siku ya kwanza hadi ya tatu hivi) anaweza kuendelea na tendo la ndoa baada ya hedhi bila wasiwasi wa kupata ujauzito; Tofauti na hapo, Madaktari wanashauri asubiri kwa muda wa siku saba (7) ndio huwa tayari kwa kazi ilkiyokusudiwa.
Napendekeza wakati mwingine uwe mdadisi kwa kuuliza haya maswali kwa Daktari aliyehusika kutoa hiyo kinga

Kumbuka: Norplant kazi yake ni kuzuia ujauzito tu; kama kuna magonjwa mengine yataendelea kuambukizwa
 
Hi Mozambiqueone
Ninavyofaham mimi; Kama mwanamke atawekewa Norplant akiwa kwenye hedhi (kati ya siku ya kwanza hadi ya tatu hivi) anaweza kuendelea na tendo la ndoa baada ya hedhi bila wasiwasi wa kupata ujauzito; Tofauti na hapo, Madaktari wanashauri asubiri kwa muda wa siku saba (7) ndio huwa tayari kwa kazi ilkiyokusudiwa.
Napendekeza wakati mwingine uwe mdadisi kwa kuuliza haya maswali kwa Daktari aliyehusika kutoa hiyo kinga

Kumbuka: Norplant kazi yake ni kuzuia ujauzito tu; kama kuna magonjwa mengine yataendelea kuambukizwa
Ushauri mzuri, haikuwa rahisi kukutana na daktari aliyempa huduma kwa wakati huo kwa ajili ya safari, asante.
 
Back
Top Bottom