Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #41
Bro maswala ya jinsia ya mtawala wa, TZ, ni, none issue, hata tukitawaliwa na shoga, lesibian, nk, kama Sera za uchumi zipo vzr,tutafika, mbali, tatizo letu, ma ccm hayajuhi maslahi ya nchi, au yameacha,yanachojua ni wizi tu, sasa hv naona Prado toleo jipya lipo mtaani na STK! Why keep buying these vehicle, kwanini tusiwaambie wajapan watutengenezee old model, tununue kwa bei nafuu, kenge wanapiga pesa tu,
We wananchi, dont care about Sex of our ruler, as long as the country prospers,
But this woman we have now, "she was not supposed to be President" She has failed caterstropyicaly
Uzi huu umeandika kama mtu aliyekunywa wanzuki
Viti maalumu vya ubunge na udiwani vifutwe.
Mwanamke kwenye uongozi lazima ataharibu hafaiTwende kwèñye hoja Sasa
Mwanamke kwenye uongozi lazima ataharibu hafai
Wanaume emotional wapo ila sio wote, ila wanawake woooote ni emotional, elegant hilo kwanza.Sasa kumbe unajua wàpo Wanaume àmbao nao wàpo emotional why uone Wanawake wàpo emotional kana kwamba Wanaume hawapo emotional? Hivi zina- charge kwèli.
HapanaWanaume wanaoharibu kwèñye uongozi ni Wanawake?
Hapana
Ujue nyuma Kuna mwanaumeNa Wanawake Wanaofanya Vizuri kwèñye uongozi ni Wanaume?
Wanaume emotional wapo ila sio wote, ila wanawake woooote ni emotional, elegant hilo kwanza.
Halafu unapokuja na kuanza kutetea wanawake, kwani wao hawawezi kujitetea?
Kwa nini utumie nguvu kutetea wanawake kama si mmoja wao kwa namna moja ama nyingine(emotional)
KWELILakini Haikubaliki raia wa nchi moja kwenda kutawala nchi nyingine.
Ujue nyuma Kuna mwanaume
Na tutaongoza tu
Mmh, this is unneccesary.
Sidhani kama kuna thread yeyote ya raisi Samia kuondolewa madarakani.
Kwa hiyo mtibeli, rest assured, mwanamke ataendelea kuongoza hadi atakapoamua mwenyewe kuacha.
Otherwise labda kama umeamua uchawa tu.
Na ukiona Mwanaume anafanya Vizuri ujue Nyuma yupo mwanamke
Mkuu naona juzi umetekenywa kidogo kuhusu kupata nafasi ya uandishi huko juu, naona unajaribu kuimpress mamlaka za uteuzi kwa post za kichawa. Sio vibaya kiutaftaji, lakini ni kama umeshoboka kirahisi mno😂MWANAMKE ANAHAKI YA KUONGOZA TAÍFA HILI. WATU WAELEWE NCHI YETU HAIONGOZWI NA DINI WALA MILA NA DESTURI BALI INAONGOZWA NA KATIBA YA NCHI.
Dear hii avatar usiitoe, iko [emoji91][emoji91][emoji91]Na tutaongoza tu