Pre GE2025 Mwanamke anahaki ya kuongoza taifa hili. Watu waelewe nchi yetu haiongozwi na Dini wala Mila na desturi bali Katiba ya Nchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Serikali Haina Dini Mkûu.
Hiyo kuchukua viongozi wa Dini NI utashi wa viongozi tuu.

Wanaweza pia wasichukue.
Serikali inauwezo pia wa kufuta Dini zote

Dini NI kama mashirika au makampuni tuu.
Kama alivyofukuzwa Kiboko ya Wachawi vivyohivyo serikali inaweza kuzifuta Dini zote na Hakuna atakayeleta fyokofyoko.

NI vile wameona kûna umuhimu wa Dini hizô kuwepo
 
Umejirudi mkuu 🤣post moja umewakandia "huwezi kuwaungisha" sahivi unaomba msamaha indirect kwa mbili mbili kwa mbili mbili imeisha unaambiwa 2+2 na 2x2=4 1+1=2 lakini 1x1=1
 

Hawezi kuongoza Kwa misingi Ipi?

Uongozi wa namna gàni?
Uongozi WA Kisiasa, Kidini, kifamilia au uongozi upi?
 
Ndio nakuambia hivii, kama bado haijazifuta ina maana zipo, na Serikali ya Tanzania inatambua hizo dini mbili na kuzipa thamani

Viongozi wanakasimiwa madaraka kwa kuapa mbele ya Rais wakiwa na aidha Biblia au Quran mkononi

Bunge kabla ya kuanza huwa Wanamwomba Mwenyezi Mungu
 

Wanamwomba Mungu yupi Sasa?
 
Mungu anayezungumziwa kwenye Biblia na Quran

Sasa Mungu wa Biblia (Yahweh) na Mungu wa Quran (Allah) mbona ni mîungu wawili tofauti tenà wa mataifa ya nje.

Unàtaka kusema Bunge letu na serikali yetu haipo Huru inakoloniwa na mîungu ya kigeni?
 
Robert amekoswa msimamo hapa huu ni udhaifu kama itikadi yake ni kuwa wanawake wako chini yetu asimamie hapo sio kuwa "contrary" na mawazo yake

Kusema Wanawake wengi haimaanishi Wanawake wôte.
Na kusema nawaunga Wanaume wengi haimaanishi Wanaume wôte

Muwe mnanielewa.
 
Nikweli unacho sema lakini "don't don't" by president Biden
 
Ni utashi tu.

Kama ni utashi wako upo Sahihi kabisa lakini kiuhalisia unapofika level za kitaifa utashi wako hauna tija.

Kipi kinakufanya ufikiri Mwanamke hatakiwi KUONGOZA isipokuwa Mwanaume.
Nitajie mambo matatu makuu kutetea upande wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…