mkuu hebu fafanua maana kuna utata hapo:
huyu dada alipofika ulimtambulilsha kwa mke si ndio?...........na kabla ya kuja huyu dada naamini alitoa taarifa sio?...........je ulimwambia mkeo kuwa kuna mgeni anakuja?
Sikatai yule mwenye kuonyesha wivu ndio mwenye mapenzi ya kweli kwa mwenzi, lakin pia uvumilivu na vitendo vyenye karaha huenda vinamuumiza mkeo, kama wewe ni mtulivu na kuiba mali ya mtu huijafunzwa. . Fikira zake mkeo ziko vibaya kwa kuzani ya kwmba huyo demu unampenda. unless huko nyuma mlikuwa na ugomvi kabla ya huyu dada kuja.......cha kufanya fanya utaratibu huyo dada aende alikopangiwa......