Mwanamke anapomhusudu mwanaume anatumia mbinu gani kufikisha ujumbe?

Mwanamke anapomhusudu mwanaume anatumia mbinu gani kufikisha ujumbe?

green rajab

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
12,387
Reaction score
39,119
Nimewaza nimekosa jibu maana kuna muda unaweza Kutana na mitego ukahisi demu anakutaka baadae ukijiongeza ili umtongoze anakutosa au kuna wale unakuta ameshavumilia mpaka imeshindikana anaamua kua na swaga za kaka mara anaforce mazoea ukimtongoza ndio anafunguka kwamba yeye anakupenda toka mda zamani.

Mi kwenye biashara yangu nawanasa sana single mama akija mtoto wake mi najiongeza nampa chocolate au juice basi nikifanya mara tatu nikipiga mistari nakubaliwa faster. Sasa wanawake mnawezaje kuumia kwa muda kisa unaona aibu kumwambia mwanaume unampenda

images-4.jpeg
 
Ila ke kukuambia kama Kaku elewa inaleta ukakasi ingawaje ni kawaida ke raha yake afuatwe na waswahili ke akijiongeza huenda akajutia maana kuna majamaa hayajui kukataa hata kama hayakutaki yatakukubali tuuu
Kwamba hakuna mwanaume atakaetongozwa na mwanamke akachomoa 🤣 wote watakubali
 
Back
Top Bottom