Mwanamke anapotaja jina la mwanaume mwingine mkiwa faragha

Mwanamke anapotaja jina la mwanaume mwingine mkiwa faragha

sawe4u

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2016
Posts
973
Reaction score
573
Pale unapokuwa faragha na mpenzi wako halafu akataja jina la mshikaji mwingine inamaanisha kuwa umem-do kiwango sawa na huyo jamaa alie mtaja au nini?

Halafu unamuulza anakwambia ni jirani yake amemzoea (ila hata mimi nilishawahi kutajwa jina na mwanamke wa rafiki yangu wakati wako kwa mchezoni).

Hebu niambieni nyie unawazaga nini baada ya hili kuwatokea?
 
Pale unapokuwa faragha na mpenzi wako halafu akataja jina la mshikaji mwingine inamaanisha kuwa umem-do kiwango sawa na huyo jamaa alie mtaja au nini?

Halafu unamuulza anakwambia ni jirani yake amemzoea (ila hata mimi nilishawahi kutajwa jina na mwanamke wa rafiki yangu wakati wako kwa mchezoni).

Hebu niambieni nyie unawazaga nini baada ya hili kuwatokea?
Huyo sio wako 🤣
 
Back
Top Bottom