anastahili vyote. cha kwanza upendo, ukimpata utatakiwa kumtengeneza aendane na wewe hapo katika kumtengeneza ndio pagumu sana na huwa panaishia kipigo, baadaye yeye akishajiona kuwa yuko chini yako na anatakiwa kukusikiliza wewe baba wa kuendesha nyumba, yaani baba kichwa cha familia, atashuka chini,atakuwa mpole na hapo unatakiwa umpende na kumfurahisha, mdekeze na mpe raha ya maisha,....yeye atakishi na kufurahia maisha yote, lakini akijua kuwa kuna mipaka fulani hivi kati yako na yeye, yaani hatakikwi kuvuka mipaka akivuka msijeanza vurugu.....
mwanamke yeyote ambaye hajawahi hata kusukumwa tu, ajue bwanake ni *****....watu wawili mliokulia familia mbili tofautitofauti wote meno salasini na mbili mkija kuishi pamoja wakati wa kusomana lazima migogoro itakuwepo, na kunakuwa na kushindana fulanifulani kila mtu anataka kuonyesha yeye fulani, na mwingine anaweza kutoka na tabia za kwao anazileta pale...so hapa kipigo huwa kinatokea...hata kama wanawake humu ndani watasema si kweli, wanaweka siri tu moyoni, washakula kipigo na bado wanawapenda waume zao.....
baba mpole ni *****, ukiona hata mama hamtishii mtoto kwamba, acha utundu baba anakuja...basi ujue mwanaume wa nyumba hiyo ni *****, limbwata limemmaliza...