[emoji1787][emoji1787]Hii kitu ni very complicated....
mwanaume anachepuka na mwanamke, ila mwanamke kuchepuka ni hatari [emoji849]
Anewei siwezi kuongea chochote bila mwanasheria wangu BADILI TABIA
Mkuu kwa nn hutak kutembea na mke wa mtuTokea enzi na enzi mwanamke amebanwa sana na mfumo dume kiasi cha kwamba ni kifaa cha mwanaume kwa matumizi yake binafsi.
Mwanadamu ana ukimwi sana na hapendi kushare kile anachokitumia na mwenzake ndipo ilipozaliwa wivu na mada kama hizi.
Any way mimi najiombea nisije kulala na mke wa mtu hali nafahamu huyu ni mke wa mtu. Yaani naomba mno.
Wewe ni Me au Ke??,Hebu Tuanzie hapo kwanza.Mm naona hii concept ya mwanamke kufanya tendo la ndoa kwa hisia badala ya tamaa ni sisi wanaume ndo tunataka iwe hivyo kwa sababu tunaogopa kuchapiwa ila ukirudi kiuhalisia mwanamke na mwanaume wote ni sawa linapokuja suala la tamaa ya ngono.
Wote tuna tamaa tu ila mwanamke ameandamwa sana na jamii ndo maana inamuia vigumu kubadili mwanaume pale anapotamani jambo la tofauti.
Asante, pamoja sana Mkuu.Ni true vyote mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Eti mpaka mwanasheria wako!!!,SawaHii kitu ni very complicated....
mwanaume anachepuka na mwanamke, ila mwanamke kuchepuka ni hatari [emoji849]
Anewei siwezi kuongea chochote bila mwanasheria wangu BADILI TABIA
Mwenyekiti tunachepuka au hatuchepuki?Hii kitu ni very complicated....
mwanaume anachepuka na mwanamke, ila mwanamke kuchepuka ni hatari [emoji849]
Anewei siwezi kuongea chochote bila mwanasheria wangu BADILI TABIA
Mwanaume kuchepuka sio oya oya lkn hakuna hatari kubwa km ilivyo kwa mwanamke.Vipi mwanaume anayechepuka??
Au kwa mwanaume kuchepuka oya oya
Kweli kabisa ndugu yangu.Kuna siku atakuondoa katika USO wa Dunia ili awe huru zaidi. Anafuata mahaba ya kumridhisha huko nje, wewe ni kama boya, heri uondoke ila awe huru.
Hao ni abnormal MkuuMnawatetea Hawa Viumbe sana. Mpaka Wao wanawashangaa. Kuna Wanawake Hawezi Kulala Bila Ngono . Wiki haipiti hajafanywa. Na Wote hao Unakuta Hajawapenda Wala Nini
Mmepoteza Mwelekeo tu Nyie Watu
Hii ndio point kuu. Wananwake wanatamani sana kubadili mbooo....na wanapenda kushare vizuri tuu. Sema ujinga wetu wanaume mambo ya kudhani kuwa wanawake hawana matamanio ya ngono kama sie wanaume.Mm naona hii concept ya mwanamke kufanya tendo la ndoa kwa hisia badala ya tamaa ni sisi wanaume ndo tunataka iwe hivyo kwa sababu tunaogopa kuchapiwa ila ukirudi kiuhalisia mwanamke na mwanaume wote ni sawa linapokuja suala la tamaa ya ngono.
Wote tuna tamaa tu ila mwanamke ameandamwa sana na jamii ndo maana inamuia vigumu kubadili mwanaume pale anapotamani jambo la tofauti.