nikupe picha rahisi zaidi
mwanamke anafanya kazi kampuni ya simu analipwa milioni 5 take home.
Mume ni mwalimu wa sekondari .... He has a passion fir his job na hata afundishe tuition mshahara wake hauzidi laki 5.
Hajajitakia kuwa na pesa kidogo since anafanya kazi aliyosomea kwa bidii zote 🙂
unasema utanunua kiatu cha laki tatu na yeye umnunulie pia....... Hapa ndio tunapokosea wanawake. U can't tame a guy..... Mwanamme kaumbwa kuongoza na kumtarajia avishwe, alishwe, apewe makazi na mwanamke kutaweka doa kwenye akili yake hata akupende vipi.
Mungu aliumba wanaume kuongoza familia na wasipofanya hivyo wanajiona hawajatimia uanaume wao.
Iwapo gap ya kipato ni sawa since bado mwanamme atakuwa anaongoza familia ndani ya uwezo wake
don tell me umetishika na maneno ya hawa wanaume humu ndani...JS saka faranga, saka faranga wachana na hulka cjui za kuolewa cjui utakosa mume, wako yupo nae anaejua kusaka kama wewe, naapia yupo wako watu wackutishe, ucwe desperate tu mana utawapata kama hao kina Fidel utaishia kukwazika, mbona unatakiwa ule bata kwa sana tu, unajichanganya kwa sana...yaani ajamni furahieni u cngle mkiingia humu jamani jamani cjui niwaelezeje, kula kuku huku kule mume yupo mahali anakusubiria, tena wa type yako kabisa kabisa, muombe mungu wako akpe wako wa ubavu.....wadada humu ndani ambao bado hamjaingia kwenye game, mctishike, mcpate wacwac wa kukosa cjui mume coz ya hiki na kile, mcjali cjui umri kusonga wala jamii kuwanyooshea vidole, ngoma ndani unaicheza mwenyewe huchezi na jamii...JS, CHARITY,BHT na wengineo.
nikupe picha rahisi zaidi
mwanamke anafanya kazi kampuni ya simu analipwa milioni 5 take home.
Mume ni mwalimu wa sekondari .... He has a passion fir his job na hata afundishe tuition mshahara wake hauzidi laki 5.
Hajajitakia kuwa na pesa kidogo since anafanya kazi aliyosomea kwa bidii zote 🙂
unasema utanunua kiatu cha laki tatu na yeye umnunulie pia....... Hapa ndio tunapokosea wanawake. U can't tame a guy..... Mwanamme kaumbwa kuongoza na kumtarajia avishwe, alishwe, apewe makazi na mwanamke kutaweka doa kwenye akili yake hata akupende vipi.
Mungu aliumba wanaume kuongoza familia na wasipofanya hivyo wanajiona hawajatimia uanaume wao.
Iwapo gap ya kipato ni sawa since bado mwanamme atakuwa anaongoza familia ndani ya uwezo wake
heheh Mrs Nyamayao....kuna vitu vitatu kasema Big Brother naomba nirudie:
Aliyekuzidi kipato---utajuuuuta kumfahamu
Aliyekuzidi Elimu-----Utakoma
Aliyekuzidi kiumri-------Utalia.
Ndo msingi wa hoja...sasa ubaya mmoja mimi sio mtu wa faranga saana ki hivyo so nilivokupata msaka faranga mzuri kama wewe walau moyo wangu unatulia madamu umri nimekuzidi na elimu japo niliishia kidato cha pili lakini ilikuwa enzi zile so sio mbaya.....
tuendelee kusaka faranga kama kawa watoto wauone mlango wa kagunia....
sasa kwa JS hapo siye tunamshauri tu,,,,yeye ni dada yangu so ninampenda kwa dhati kabisa nisingependa amegwe2 hovyo na wasio na mpango naye!
ndio hapo inapoingilia swala la kuchunana...yeye alijiona afiti na mie kwanini alikubaliana na mie....hapa ndio ninazungumzia kuwa JS awe na mtu wa level yake akiwa na tofauti ni headache tu hata kama una mapenzi nae ya kweli vijimmbo vitakuwa havikosekani.
Hapo kwenye nyekundu Dada nyamayao napata mashaka kidogo kama una shauri au unapotosha? mimi nadhani ukweli upo palepale na wewe unaujua ila bac tu, anyway dada Nyamayao mpe hi SHEMEJI
Ndipo nnapozungumzia Mimi hapo..... Kwa usalama wake mwanamke basi ni bora atafute mume ambae Hakuna gap kubwa sana baina Yao.
Gap ndogo Kama wewe unapata milioni mbili na mume anapata moja na nusu basi nafikiri mwaweza lingana.
Hata Kama mwanamme awali alifikiri hiyo gap sio ishu, namna alivyo umbwa kama mwanamme itakuwa issue tu mbele ya safari
USINIFANYIE HIVYO!....
mimi naona kama js ANA POINT
:kiss::kiss::kiss:ndio nimeshakufanyia...mbona wewe umenifanyia?
:kiss::kiss::kiss:
sasa kituko unataka JS akose ucngizi kisa kufikiria atapataje mume?...ninavyosema ale bata ndio namaanisha huko huko kwenye mitoko yake atapata wa kwake, kwenye kujichanganya ndio palipo na mema, hata kama umri unaenda kama hajapata sasa afanyaje, ndio matokeo yake atajichomeka tu mahali ndio wanaishia kulia shida/manyanyaso ya ndoa ikipita mwezi tu.
]kwanini ashindwe kunielewa kama kuna mapenzi ya kweli kati yetu?[/COLOR] c na mie nitamnunulia hicho kiatu cha laki 3?....na huyo wa mshahara wa laki tatu nae atakuwa alijitakia kujitumbukiza kwenye shida ili alelewe, othrwise kama anapokea laki tatu na ana mapenzi ya kweli akae wasaidiane japo kimawazo nk kama ametaka kuwa na mtu wa juu yake...hapo hapo umemuweka barabarani mambo yake safi anang'ara then anaanza sasa kuvua chu..pi za nje, yaani mie cjui kabisa unaweza mpiga mtu kikuku cha ta..ko afie njoro.
Ndiyo ushauri wetu kwa JS na wangine. Kwa afya yake na huyo mdau anayetafuta kuwekeza kwake!ndio hapo inapoingilia swala la kuchunana...yeye alijiona afiti na mie kwanini alikubaliana na mie....hapa ndio ninazungumzia kuwa JS awe na mtu wa level yake akiwa na tofauti ni headache tu hata kama una mapenzi nae ya kweli vijimmbo vitakuwa havikosekani.
.hili lyfe halieleweki kabisa...mwanamke ukiwa huna utaambiwa msumbufu/una omba sana, ukijua kuzisaka napo shida, najua kama JS angekuwa yupo ndani tayari ndio akapata kazi ya maana kuliko mume watu wangesema mengine lakini kwasasa wanasema tofauti...bwana weee JS jiwekeze, jenga nyumba hata 50 kama uwezo unao, fanya yote yawezekanayo utapata tu wa level yako...
haha Nyamayo, unadhani hilo dogo? Hapo tayari anakosa sehemu ya usingizi tayari.....
:fencing::fencing::fencing::tape: