Mwanamke anayekuvutia wewe peke

Mwanamke anayekuvutia wewe peke

Ukitaka kuoa inabidi mwanamke huyo asiwe mzuri kwa kila mtu maana hapa ndio presha inapoanzia,chukua wale mademu like Ebitoke utaishi bila presha[emoji23]
Mmhhhhhh acha kujisumbua .

Weee Oa mwanamke Kifaaaa yaaan mzuriiiiiii kwakila kitu .( tabia na sura ).

Kisha ,,Hakikisha unamiliki Bastola.

Kama washikaji wanamsumbua sana weee cheza na hao washikaji ..

Kama nayeye anafurahia kukuzunguka MTU mzm ,,, Basi Mfukuze .

Fanya haya so long as una pesa .[emoji35]
 
Back
Top Bottom