Mwanamke anayetelekeza watoto mapacha wa miaka miwili anawaza nini?

Mwanamke anayetelekeza watoto mapacha wa miaka miwili anawaza nini?

TheHustler

New Member
Joined
Oct 17, 2024
Posts
3
Reaction score
3
Dah! Kuna watu wana roho ngumu, basi tu. Hivi, kweli, mwanamke anaejitambua, anawaza nini anapoamua kutelekeza vipacha vya miaka miwili na nusu? Baba ndo awe mlezi, awe mtafutaji, mama akale bata na wanaume kusikojulikana!
Japo na wanaume hawako sawa(badhi),ila pia wanawake na wenyewe kuna wengine ni makatili sana.
 
Kuzaa sio upendo
Na upendo sio kuzaa.
Simama Sasa kama bama Ili wasimame.

Ili wakiwa wakubwa waje kuimba nani kama Mama.
 
Mimi namfahamu mdada mmoja alimwachia mwanamme mapacha watatu na sasa hivi ni wakubwa kabisa wapo secondary nafikiri.

Kuna siku nikaja kukutana na mdada kiwanja akila good time tena mmoja aliyekuwepo ktk hiyo meza ni rafiki yangu ila hakujua kama mimi namfahamu huyo dada.

Dada aliona jamaa amepigika kimaisha ghafla akala kona tena kabla ya hao mapacha watatu tayari alikuwa na mtoto mmoja mkubwa.
 
Nilitelekezewa mapacha wa kike wana 2yrs nikafuta ile mbuzi kwnye maisha yangu kabisa! Leo hii wapo chuo kikuu Marekani na mama yao hajawaona kwa miaka 21 analvuna korosho huko kusini na maisha yashampiga sawasawa! Kuna kipindi unatakiwa kuwa mwanaume na kupractice uanaume sio kuvaa suruali tu
 
Mimi namfahamu mdada mmoja alimwachia mwanamme mapacha watatu na sasa hivi ni wakubwa kabisa wapo secondary nafikiri.

Kuna siku nikaja kukutana na mdada kiwanja akila good time tena mmoja aliyekuwepo ktk hiyo meza ni rafiki yangu ila hakujua kama mimi namfahamu huyo dada.

Dada aliona jamaa amepigika kimaisha ghafla akala kona tena kabla ya hao mapacha watatu tayari alikuwa na mtoto mmoja mkubwa.
Sasa mkuu mbona unakatisha stori njiani.
  • huyo mtoto mkubwa nae alimwacha?
  • huyo mwamba vipi maishabyake sasa, akitoboa??
  • hao mapacha walikua wa kike au kiume?

Jazia jazia nyama mkuu
 
Nilitelekezewa mapacha wa kike wana 2yrs nikafuta ile mbuzi kwnye maisha yangu kabisa! Leo hii wapo chuo kikuu Marekani na mama yao hajawaona kwa miaka 21 analvuna korosho huko kusini na maisha yashampiga sawasawa! Kuna kipindi unatakiwa kuwa mwanaume na kupractice uanaume sio kuvaa suruali tu
Na hao watoto nao hawajawah kuuliza kuhusu mama yao??
Umejuaje kama yuko anavuna korosho na kapigika? Bado unampenda au?
 
Na hao watoto nao hawajawah kuuliza kuhusu mama yao??
Umejuaje kama yuko anavuna korosho na kapigika? Bado unampenda au?

Ni mzazi mwenzangu so kujua alipo sio mbaya na hata akihitaji msaada natoa, unaweza kuwa na upendo na mtu aliyekutelekezea watoto wa 2yrs lbd km una matumizi mabaya ya upendo! Wtt sikuwapa habari na hawakujua hadi mama yao wa kambo alipomess up pia ila tayri walikuwa watu wazima!
 
Dah! Kuna watu wana roho ngumu, basi tu. Hivi, kweli, mwanamke anaejitambua, anawaza nini anapoamua kutelekeza vipacha vya miaka miwili na nusu? Baba ndo awe mlezi, awe mtafutaji, mama akale bata na wanaume kusikojulikana!
Japo na wanaume hawako sawa(badhi),ila pia wanawake na wenyewe kuna wengine ni makatili sana.
Ni sawa, hajawatupa wala kuwanyonga si wapo na baba yao? Mungu atamsaidia
 
Kuna mambo yanahitaji maamuzi magumu na strong once and for all kama hili kwangu halikuwa la kucheka hata kidogo! For 15yrs hakujua nipo wapi wala wanae na Mungu alivyo wa ajabu hajawahi kupata mtoto tena sasa anajaribu kutafuta mahusiano na wanae na mie nachochea sana na kuwauliza kama wanamuhitaji wafanye kwa hiyari yao ila hana msaada wowote sasa hivi zaidi ya kutafuta vijisaada vya hapa na pale. It's up to them mi nishamaliza kukuza tayari
 
Babuuu eh,usiombe likukute. Japo sijazoea na naona bado kama ndoto,wakiwa na 1.5 years alifanya hivo,nikambembeleza,akakuza kidogo. Baada ya mwaka,akasusa mazima.

Bado nakomaa, si kazi ndogo,we baba we mama, unatakiwa uwalee,uwahudumie, na ndo utafute.

Siku moja, hata uji hawana, unawaangalia, hadi unakufuru.
Ila, mdada furani wa humu,ile siku ulichokifanya,Mungu tu ndo anajua na ndo ana cha kukulipa.

Af unavuta picha, limama lao limekula, limelala, pengine linachezea paipu, halifikilii watoto wako wapi na wanaishije!
 
Back
Top Bottom