Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dini inahusika VP hapo?Ni dini gani huyo mwanamke? Wamchunguze
Ndege ilitaka kutumika kama short kati ya kwenda peponi ikiwezekana kuangamiza watu wengi as much as inavyowezekana. Kwenye mambo ya uchunguzi ukitaka ku establish intention(motive) ya mtuhumiwa ni lazma pia uangalie angle nyingi depending na tukio lililotokeaDini inahusika VP hapo?
Waislamu walimuoa dada yako bila mahari?Ndege ilitaka kutumika kama short kati ya kwenda peponi ikiwezekana kuangamiza watu wengi as much as inavyowezekana. Kwenye mambo ya uchunguzi ukitaka ku establish intention(motive) ya mtuhumiwa ni lazma pia uangalie angle nyingi depending na tukio lililotokea
Kwani umeona/umesikia nmesema neno uislam?Waislamu walimuoa dada yako bila mahari?
Usitufanye sie ni watoto wenzio we dogo sisi sio kama wewe unavyoishi kwa shemeji yako mkuuKwani umeona/umesikia nmesema neno uislam?
Waislam walimuoa (wengi) dada yako (mmoja) bila mahari?Waislamu walimuoa dada yako bila mahari?
Dada yake ameolewa three some we kwani haujui?Waislam walimuoa (wengi) dada yako (mmoja) bila mahari?
Hii ni gang rape!
Aaaaaiiiseeee!Usitufanye sie ni watoto wenzio we dogo sisi sio kama wewe unavyoishi kwa shemeji yako mkuu
Uzuri wa wenzetu uko hapo ukiwazidi akili kidogo hawapanic na huenda wakamjali na kumuhudumia kabisaHii taarifa ina wiki nzima huyo dada ni raia wa Russia alisafiri toka USA mpaka France akiwa hana boarding pass wala Visa kwenye Passport yake baada ya kuruka viunzi viwili vya vya ukaguzi wa mwili hapo JF Kennedy Airport na alipoingia ndani ya hiyo ndege akwenda kukaa kwenye seat yeyote zaidi ya muda mwingi aliutumia kwenye kewnye vyoo vya hiyo ndege mpaka rubani alipopata taarifa kutoka kwa wahudumu wa ndege na kutangaza kuwa abiria wote wawe watulivu mpaka pale polisi wa usalama watakapofika na kumchukua..
Shirika la ndege lililomsafirisha ni Delta mpaka muda huu aligoma kurudi USA akitaka kubaki France unafanyika uchunguzi jinsi alivyofanikiwa kusafiri na ikowekezekana arudishwe USA au aendelee kukaa France kwa vibali vya ukimbizi..