miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
kabisa hata me nilikuwa nawaonea wivuNi kweli mtu anaona hapati hzo kero za kuvaa ped kumbe ni janga
NDIO ataweza kupata mimba iwapo atajamiiana kipindi cha ovulation(kupevuka kwa mayai ya uzazi). Wapo wanaojifungua na kukoma kupata siku zao na baada ya muda kujikuta wamebeba mimba nyingine ili hali hawakuona siku zaoNaomba kueleweshwa juu ya hili swala je mwanamke aspoona sku zke hata kwa miez mitatu hivi je anaweza pata mimba??
Mkuu sijaharb kokote nmeulza nipate uzoefu.kwani hujaharibu mahali mkuu
Hyo kwa mbaal ndo kvp!!kwa mbaaaaaliii anaweza ila wengi nao wajua hawajapata wakati tukiwa vibinti walituringishia bila ya kujua ni tatizo
unaweza kuotea yai
basi sawa
Salaale.Nahis ww ndo umemwelewa mtoa mada...kivp sasa mpk ategee siku atakayopata siku zake ndo a sex au?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nin sasaSalaale.
Hilo Swali. Umeuliza wewe au umemuulizia?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nin sasa
But why unanifuatilia ata nikiwa nadiscus ishu na wanawake wenzangu[emoji35]Hilo Swali. Umeuliza wewe au umemuulizia?
(But I'm joking though, it's your right to know)
Hujaona sentence ya kwenye bracket?But why unanifuatilia ata nikiwa nadiscus ishu na wanawake wenzangu[emoji35]
Hujaona sentence ya kwenye bracket?But why unanifuatilia ata nikiwa nadiscus ishu na wanawake wenzangu[emoji35]
Nmeona si umeandika sijui lugha ganiHujaona sentence ya kwenye bracket?