Mwanamke asiyependa ngono namtafuta awe mke wangu

bomanyano

Member
Joined
Aug 3, 2016
Posts
7
Reaction score
6
Natafuta mwanamke hasiyependa ngono ili awe mke wangu wa maisha mimi miaka yangu kati ya 46 na 50.

Karibu sana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] walah hunifai, utakua ni mchovu wewe.
 
Natafuta mwanamke hasiyependa Ngono ili awe mke wangu wa maisha mimi miaka yangu kati ya 46 na 50 karibu sana
Team vibamia mixer dakika moja bila kusahau kitambi nyama uzembe....hehee wanawake mna shida jamani!!! maana kupanda kitandani uku hujui kinachotolewa ni nini nayo ni uvumilivu wa hali ya kipekee....
 
Team vibamia mixer dakika moja bila kusahau kitambi nyama uzembe....hehee wanawake mna shida jamani!!! maana kupanda kitandani uku hujui kinachotolewa ni nini nayo ni uvumilivu wa hali ya kipekee....
Kwa mjanja wakati mnacheza cheza unaanza kushika shika utajua kama ni ndizi Bukoba au kapenseli ka mtoto wa darasa la kwanza kanakorabia kuisha😀
 
tafuta wakongwe wenzio mkuu kwa wanawake hawa wa .com ni nadra sana kumpata labda awe age imeenda sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…