Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

mmmh mwana elfu mbili simu kali ilikuwa panasonic ndogo kama kiberiti na samsung A800 ya kufunua au 3310 au simens A45 sasa mkuu hiyo badoo mwana aliitolea wapi

Sent from my M4 using JamiiForums mobile app
 
Mwana leo wamekukamata kumbe ulikuwa unawateka hivyo sasa.subiria wakukamate
 
Anatunga story bila kuzingatia nyakati Facebook tu wengi kutumia wameanza 2008/2009 enzi hizo chatting ilikuwa sana Darhotwire , Bongocelebrity , Marafiki.com ,Darchat , hi5 etc
Bila kusahau ebuddy, Yahoo messenger na chat rooms za waptrick
 
Hapana mkuu, mi niliweka tu makazi kujionea yanayoendelea huko. Nnazo namba kibao, raha yangu huwa ni kuwazingua tu. Sijawahi kununua huko.

Sasa mzee sii utape namba hizo sie tuzitumie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…