Ha ha haHahahahahah ulikuwa ndez kweli
Hapa nimepata mdada kutoka badoo, picha zimenidanganya.ni mbovu balaa
Iyo bado Ni application au ile nyimbo ya daimond?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Alivyouliza sasa haa haa nimecheka sana hapa aisee na bado nawaza swali lakeNimecheka sana ndugu
Tangaza basi iyo biashara yako tununueNimeusaka sana huu uzi
Tangaza basi iyo biashara yako tununue
Mm imenibid nidelete kbs ile app baada ya shoga mmoja kukomaa na mm ananitongoza kinyama,nimemkatalia matokeo yake ananiuliza badoo unafanya nin,mi nikamwambia ni dhami kuwemo humu alinijibu imebid nidelete hio app kbs,ameambia badoo app spesho kwaajili ya mashoga na wasagajiWapendwa nilijitoa badoo kwa muda leo nimerudi nimekutana na mapya[emoji116] [emoji116] [emoji39]
Ni app hiyo ingia play store na uandike badooApp.