Nimuhimu sana kuwezesha wanawake katika sayansi na teknolojia kwa miaka ijayo kuanzia 5 hadi 25,hii itahakikisha mwanamke haachwi nyuma katika sayansi na teknolojia.
Pia sayansi na teknolojia kwa mwanamke zina maana kubwa, zikimpa fursa ya kujitegemea, kuwa na ushawishi katika jamii, kujenga mustakabali bora na kuondoa nyanyasaji dhidi ya mwanamke.
UMUHIMU WA MWANAMKE KATIKA SAYANSI NA TEKNOLOJIA