Mwanamke gani anafaa kuoa?


poa dada hujaolewa. Kwa hiyo wewe upo kundi gani?
 

...muadilifu, mwenye maadili na kufuata misingi ya Imani yake.
...mwenye heshima na kujiheshimu,
...mwenye busara na akili yake timamu.
...asiwe mvivu, mchoyo, au mbinafsi...
...mwenye afya nzuri kiujumla.

kisha ndio uanze kuangalia elimu yake, kazi yake, urembo wake nk...
 

Busara na hekima za hali ya juu Mkuu. Ahsante sana. Naona kuna mchapo mzuri sana unakuja kati ya majirani wa Manchester kwenye semifinals za FA.

 
Busara na hekima za hali ya juu Mkuu. Ahsante sana. Naona kuna mchapo mzuri sana unakuja kati ya majirani wa Manchester kwenye semifinals za FA.


...ha ha ha, ...Sshhhhh!.... BelindaJacob ni memba kwenye jukwaa hili, akitusikia atatuanzishia timbwili kaka!
 

asante sana mbu....avator yetu ille imeenda wapi aisee
au ndio umeamua kuja kimapenzi zaidi?
 
Reactions: Mbu
Mke mzuri ni yule utakayemuona mtamu tu,mengine hutayasikia hata ukiambiwa mchawi!
 
Mwanamke mzuri kwa ndoa ni yule unayeona mwaweza endana tabia, anayekuvutia kihisia, mwelewa wa mambo na mwepesi wa kujifunza, upendo wa kweli na dhati kwako ni kigezo muhimu!
 
Mwenye Dini na maadili mazuri sio ka wema sepetu au Lulu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…