mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmh
Vipi tenaaa???
msumari huu
Duuh...umezama kwenye memory card?
ha ha ha ha ha ha ha kuna uzi mmoja hivi unahus hilo neno nililobold nilikamiwaje
Ha ha ha haa....nimepiga ikulu. Ila sio utani memory card yako ipo tyte sana. Niliifurahia mnooooooooooo
weee acha utani wa mawe wakati unaish kwenye nyumba ya vioo wewe memory card yangu hata sura yake huijui wala size huitambui vipi useme ipo tight????? uliifurahia wapi loh makubwa haya yako...
Ha haa nyumba ya vioo mie? Umesahau uliniazima ile ya 2GB? nikakusevia ile movie ya kihindi! Teeeh...
sikuelewi hata jamani
Ntakueleweshea kuleee...
mtoni..wapi huko
mtoni..
Usicheke sasa...huko ndo utaelewa freshha ha ha ha hahahahaha
Miaka imebadilika sana ndugu. Watoto wa siku hizi ni wawazi sana, na si jambo baya kihiiivyo. Maelezo yako yanaonesha pengine ujana wako ulikuwa miaka ya 50, 60 au hata 70/70 hivi. Badilika nao uishi kwa furaha katika Tanzania mpya.
Wanachofanya ndicho hicho kilichopo katika dunia ya leo. Huyu hapa amefanya vizuri. Hebu pitia maelezo haya:
Usicheke sasa...huko ndo utaelewa fresh
Napita tu