Si kweli, wanawake hawana shahawa wala manii, kile unachokiona kinachofanana na shahawa ni cervical mucus ambayo inasaidia kuwezesha manii kuishi kwa muda mrefu ili kuweza kuingia kwenye tumbo la uzazi na baadae kulifikia yai. Ukiiangalia cervical mucus na jinsi inavyovutika (elasticity) unawezakujua fertility ya mwanamke (kama amekaribia au amepita ovulation).
View attachment 87699
Hii hapa in fertile kwasababu inavutika hapa kunauwezekano mkubwa wa mimba kutungwa
View attachment 87700
Hii siyo fertile kwasababu haivutiki, manii haziwezi kuogelea kwasababu ni ngumu (Viscous)
Unaweza kupina kama hiyo ni cervical mucus kwa kuiweka kwenye maji, kama italowa (dissolve in water) basi hiyo siyo cervical mucus labda inaweza kuwa ni bartholin's fluid ambayo ni soluble in water.