[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Don kumbe unamjuaHivi unamjua vizuri Mzigua90! Huyu akizuiliwa kutoka atajiua.
Nasubiri tu siku apitishe tamko kwamba hataki kutoka, nianze kumtajia niko 777, mara Tips, Bucket, utashangaa tu anasema kama ndoa ife.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu wakiwa mabarabarani wanawatamani wavaa vimini na wig mm kwakweli acha nivae ninachopendaWanaume bana,yupo dada mmoja alipendaga kuvaa suruali,vimini,wigs na makorokoro mengine,bwana akampenda akamuoa,ile kuingia tu ndani akaambiwa mama hapa vimini marufuku,hapa ni nguo ndefu na kukata nywele tu.....dada akabisha bisha weee mume akamwambia chagua moja,ndoa au hizo nguo zako.Ikabid dada achague ndoa,saivi unaweza kusema anakimbilia 40s,kumbe yuko btn 25_28
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Don kumbe unamjua
Ila kweli,sasa hapa mimi wa vimini na hii haircut huku kichwani sielew kama nanoga au ndo nimeboa[emoji23] em kwanza niende gugo nakuja,mana niko kifupi nywele nimekata afu vazi la kesho nilikua nimefikiria ni sket ndefu tena charangaHaki kitu cha ajabu kama mtu akate nywele awe mfupi halafu avae liskirt refu ilimradi tuu. Fashion ya skirt ndefu ni kwa kujifunga kichwani. Kagugo wanawake wanaovaa long skirt halafu wanajifunga kiislam kichwani wanavyopendeza. Lakini mtu mwenye short hair akivaa trouser anapendeza sana
Wakati hamuhudumii,loooohSasa ndo nalosema hilo. Halafu akikaa na wenzie anasema mke wangu yuko kama mzee hajipendi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mm ndio ndugu yake humu jf yaan hahaha kwahiyo umevujisha siriHalafu aliniambia kuna siku tutakutafuta tulewe pamoja, maana anasema humu ndani ni wewe tu kwa wadada anaowaamini.
Nimevujisha siri...
Unanoga mbayaIla kweli,sasa hapa mimi wa vimini na hii haircut huku kichwani sielew kama nanoga au ndo nimeboa[emoji23] em kwanza niende gugo nakuja,mana niko kifupi nywele nimekata afu vazi la kesho nilikua nimefikiria ni sket ndefu tena charanga
Mi namjua wa kuja kujibu ila mwifwa atasema napeperusha ndege wake@Thad alijaribu kujibu akaona viatu vikubwa akavivua.
Et muwe mnavaa vimin hajui kama ndoaHapo kwenye kukata nywele,ina maana tusivae sketi ndefu ama?[emoji23]
Yaaan hawaeleweki,mara mtu usipake makeup wakati huko ofisin anakimbizana na dada wa make up,mke nyumbani uso umenona kwa kupaka vaseline ya 2500[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu wakiwa mabarabarani wanawatamani wavaa vimini na wig mm kwakweli acha nivae ninachopenda
Nitie moyoUnanoga mbaya
Hvo vingine alikua sahihi IlaWanaume bana,yupo dada mmoja alipendaga kuvaa suruali,vimini,wigs na makorokoro mengine,bwana akampenda akamuoa,ile kuingia tu ndani akaambiwa mama hapa vimini marufuku,hapa ni nguo ndefu na kukata nywele tu.....dada akabisha bisha weee mume akamwambia chagua moja,ndoa au hizo nguo zako.Ikabid dada achague ndoa,saivi unaweza kusema anakimbilia 40s,kumbe yuko btn 25_28
Yes flaviana ndo nnachompendeaKuwa natural si dhambi ila kujitunza na unatural wako. Umeona Flaviana Matata anavyovutia na unechiro wake?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mm ndio ndugu yake humu jf yaan hahaha kwahiyo umevujisha siri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Niache embu. Unajua niko free. Sina bwana wala bf wa kuniwekea sheria. Halafu mimi nikiwa na mwanaume naona kabisa tuko serious wala hata haniambii nifanye kitu nafanya mwenyewe. Tatizo sasa mimi siko sure na yeye hayuko sure halafu anataka alete sheria. Siku ikitokea tukawa mbona ratiba ntaacha ili nikakae nae. Sasa hivi tuishi tuHivi unamjua vizuri Mzigua90! Huyu akizuiliwa kutoka atajiua.
Nasubiri tu siku apitishe tamko kwamba hataki kutoka, nianze kumtajia niko 777, mara Tips, Bucket, utashangaa tu anasema kama ndoa ife.
Halafu Don mtu akilewa anayoyaongea yote inabidi umwamini sababu anaongea ukweli mtupu hahah umenichekesha hiyo ukinywa heinekenIla aliniambia tukiwa tumeshakunywa, sikuwa na uhakika ni pombe au akili yake...
Make akili za pombe hazielewekagi. Mi nikinywa Heineken naongea English safi tofauti na nikinywa Safari. Siku hiyo ilikuwa ni Heineken
Charanga na body suit inanogaIla kweli,sasa hapa mimi wa vimini na hii haircut huku kichwani sielew kama nanoga au ndo nimeboa[emoji23] em kwanza niende gugo nakuja,mana niko kifupi nywele nimekata afu vazi la kesho nilikua nimefikiria ni sket ndefu tena charanga