DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Hata wewe?Tafuta pesa...
Utapata demu umtakaye
Nikupe namba yake,ipo kwenye vipeperushi,sasa hivi analiwa kimasihara maana miaka 30 inamuhusu hachomoki
Pesa hazina nafasi kwenye mapenziTafuta pesa...
Utapata demu umtakaye
Kwa jinsi ulivyo na matusi huwezi pata, utampata wa matusi matusi....Soma Uzi mm sijasema natak demu wake but awe type km yk.
[emoji1787]nehiiHata wewe?
Hujui kusoma Abbreviation ww I'm not sure if unaelewa what going onKwa jinsi ulivyo na matusi huwezi pata, utampata wa matusi matusi....
Namaanisha akipata pesa hata wewe atakupata?[emoji1787]nehii
Mtumishi hapo kanisani mademu kama ao wapo wenye kukaa na ww at the tough timeHilo nalo ni la kuja kutuambia humu. Kweli?
YESU KRISTO NI BWANA NA MWOKOZI
Acha kubishana na mwanamke wewe....Sabaya angekuwa anabishana na mkewe asingempata.Hujui kusoma Abbreviation ww I'm not sure if unaelewa what going on
Huwezi kumpata wa type yake we jibebee huyo huyo every one is uniqueSoma Uzi mm sijasema natak demu wake but awe type km yk.
Sawa MkuuAcha kubishana na mwanamke wewe....Sabaya angekuwa anabishana na mkewe asingempata.
Yes I know wellHuwezi kumpata wa type yake we jibebee huyo huyo every one is unique
Umeshaniwahi wewe, hawezi nipata...[emoji1787]Namaanisha akipata pesa hata wewe atakupata?
Je atakupenda au ndio ataenda kumpa mbususu jamaa mwengineTafuta pesa...
Utapata demu umtakaye