Mwanamke KAMILI....!!

Utashambuliwa hapo hujui kunaimani tofauti humu!
but ukweli unabaki palepale!
Atakayenishambulia ana yake coz hapo nimejielezea mm na sio wote atiiiii!
Nimeongelea ninachokiamin mm binafsi ni c lzm kila mtu akiamin!!
 
Mimi naamini ni mwanamke kamili japo sijatimiza nusu ya hayo yote !
 
Gwaride kubwa.. (6x6=36)......unaweka materio yapi anga hiyo mtaalamu..??

"KUWAJIBIKA , KUMUELEWA MWENZAKE, HACHOKI KUJIFUNZA na KUTOKUA MBINAFSI"
Yote hayo yanahusika japo yapo kwenye vipengele tofauti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…