Mwanamke Karibu tufahamiane tukenge maisha 23+.

Mwanamke Karibu tufahamiane tukenge maisha 23+.

Marley1

New Member
Joined
Aug 16, 2019
Posts
2
Reaction score
0
Habari za wanaforum hii..nahitaji kupata mwanamke wa kupanga nae maisha.. profile yangu kwa ufupi...Age ni 31yrs' nimejiajiri Mwenyewe. Na nina kibanda changu pia hapa mjin.

Sifa za huyu Mwanadada ni.

Awe msafi wa Asili nje na ndan.
Awe na elimu ya A'level+
Asiwe na mtoto.
**Awe tiar kupima Afya kwa pamoja.**

Shukran.
 
Habari za wanaforum hii..nahitaji kupata mwanamke wa kupanga nae maisha.. profile yangu kwa ufupi...Age ni 31yrs' nimejiajiri Mwenyewe. Na nina kibanda changu pia hapa mjin.

Sifa za huyu Mwanadada ni.

Awe msafi wa Asili nje na ndan.
Awe na elimu ya A'level+
Asiwe na mtoto.
**Awe tiar kupima Afya kwa pamoja.**

Shukran.
Kwa hiyo kiongozi kwa mujibu wa title ya habari mnataka kuwa makenge?
 
Ukifanikiwa na mimi nijulishe nijaribu
 
Hivi nani kawaambia humu kuna wanawake

Tena wa kukenga maisha?.. ndio wakoje

Typing error kiongozi..lakin pia naamini kufahamiani ni kokote inaweza kuwa sokoni..kanisani.msiban.na hata hapa kwa platform hii
 
Typing error kiongozi..lakin pia naamini kufahamiani ni kokote inaweza kuwa sokoni..kanisani.msiban.na hata hapa kwa platform hii

Tuma jina lako nikutafutie vicoba vya kina madada ufahamiane nao
 
Hicho kigezo cha kupima afya nadhani kitawafanya wengi waingie mitini...
 
Habari za wanaforum hii..nahitaji kupata mwanamke wa kupanga nae maisha.. profile yangu kwa ufupi...Age ni 31yrs' nimejiajiri Mwenyewe. Na nina kibanda changu pia hapa mjin.

Sifa za huyu Mwanadada ni.

Awe msafi wa Asili nje na ndan.
Awe na elimu ya A'level+
Asiwe na mtoto.
**Awe tiar kupima Afya kwa pamoja.**

Shukran.
Husband to be! nakuja inbobo.
 
Back
Top Bottom