Mwanamke Ku bleed Baada Ya wiki 3 za Mimba

RGforever

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2011
Posts
6,878
Reaction score
5,432
Hello JF doctors

Hebu tupeane Elimu kidogo hapa Je Ni Kawaida kwa Mwanamke Kubleed baada Ya Mimba Kujulikana Week 3 baadae. Na Bleed yake Ni Nyepesi ya Kawaida kama anavyopata

Nimejaribu kuulizia kuhusu Vipimo vya UltraSound Ili Tujue Ila Wamesema Mpk week 6 ndo itaonekana Vizuri kama Ipo Ila wamesema Inaweza Ikawa Kawaida kubleed Hivyo Kwa Mwanamke

Je Hii ishawahi tokea Kwa Member humu .. Asanteni
 
Mwanamke aki bleed wakati ni mjamzito swali la kwanza Kujiuliza ni kafanya Abortion, kama hapana utaanza kufikiria issue nyingine za pregnancy complications kama Gestational trophoblastic disease, Anovulation nakadhalika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…