Buchumipetro
Member
- Mar 7, 2025
- 20
- 33
Kwa wanandoa hii inahusu sana wanawake
familia nyingi ziko mbioni kuharibika kwa sababu mke na mme wote ni viburi hakuna mtu wakushusha sauti
jamani wanawake ebu jitambueni kuwa ninyi ni nani ninyi ni wanawake tu na hamuna ruksa ya kumfokea mwanaume na kumnyoshea kidole
hii inasababisha mwanaume kuwapiga tambueni hilo mwanamke unapoanza kufoka mwanaume anashindwa kujizuia kabisa inapelekea mwanaume kuondoka mbele yako na au kukupiga
hatakama mwanaume kakosea lakini wewe kama mwanamke uliejaa hekima na busala unatakiwa umueleze mmeo kwa upole sauti yako iwe chini na uwe mpole uliza au muambie kwa upole nae atajibu
mwanaume atakapojibu kwa kufoka au asipojibu wewe inatakiwa ukae kimya na mwache tu hadi mda utakapoona yakwamba yuko sawa hapo utajaribu kutumia lugha moja ambayo ni nzuri tu MFANO: (mme wangu kichwani mwangu nikonajambo linanisumbua naomba mda wako kidogo nikueleze & nikuulize samahani lakini nikikuudhi utanisamee)
hapo ukinena hivo yani lazima akuone mwanamke anaefaa.
BY shuleyamapenzi
familia nyingi ziko mbioni kuharibika kwa sababu mke na mme wote ni viburi hakuna mtu wakushusha sauti
jamani wanawake ebu jitambueni kuwa ninyi ni nani ninyi ni wanawake tu na hamuna ruksa ya kumfokea mwanaume na kumnyoshea kidole
hii inasababisha mwanaume kuwapiga tambueni hilo mwanamke unapoanza kufoka mwanaume anashindwa kujizuia kabisa inapelekea mwanaume kuondoka mbele yako na au kukupiga
hatakama mwanaume kakosea lakini wewe kama mwanamke uliejaa hekima na busala unatakiwa umueleze mmeo kwa upole sauti yako iwe chini na uwe mpole uliza au muambie kwa upole nae atajibu
mwanaume atakapojibu kwa kufoka au asipojibu wewe inatakiwa ukae kimya na mwache tu hadi mda utakapoona yakwamba yuko sawa hapo utajaribu kutumia lugha moja ambayo ni nzuri tu MFANO: (mme wangu kichwani mwangu nikonajambo linanisumbua naomba mda wako kidogo nikueleze & nikuulize samahani lakini nikikuudhi utanisamee)
hapo ukinena hivo yani lazima akuone mwanamke anaefaa.
BY shuleyamapenzi