Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Nashukuru ndug nitafanyia kazi ushauri wakoKama hauna maradhi yoyote ya bacteria na au fungus basi fanya hivi:
Kula sana matikiti maji na matango na juisi ya karoti kwa wingi.
Karoti, avocado, karanga mbichi zisikose katika milo yako ya siku.
Fanya chatni ya uwatu uwe unakula mara kwa mara.
Pia kila siku kunywa glass moja ya juice ya aloevera.,
Fanya hivyo kwa miezi mitatu mfululizo kisha tuletee majibu.
Matokeo utaanza kuyaona wiki ya tatu toka utapoanza hiyo diet.
Upo sawa mkuu au nendeni hospital mkamuone dokthilo tatizo haupo peke yako dadaangu mpo wengi tu,cha muhimu ni mwambie mumeo akuandae vya kutosha pia uwe na hisia naye hakikisha mpenzi wako ni msafi,kama hatojari mwambie akuyonye kisimi au akuchezee hicho kisimi uone,wakati hilo zoezi likiendelea kumbuka kula matunda kama matikiti, ndizi pamoja namboga za majani ikishindikina hapo muone daktari wa magonjwa ya kina mama
HAHAHA MISS YOU SOUND LIKE A MANau angalkia picha za ngono vuta hisia
dakika 5 chupi inakuwa makamasi ndembendembe yaani !
sasa si ndo ataona kama akipiga bao ute utatoka mkuu? kwani ute huwa unatoka ovyoovyo?
chezea kisimi kama dakika tano hivi uone itakuwaje usipotoka nenda kwa dokta tumia pia dawa za kuzuia mimba
DAH MKUU HILO NENO LIMEKAA KIUKALI. NAHISI LIMEKOSA HEKIMA. STAY POSITIVE MZEE ACHA HIZO. MSAIDIE TATIZO HUSIKATo be direct with no meandering : " U are over Used"
Homon imbalance inasababisha sana hilo tatizoMwanamke kutopata ule ute ute hali hii inatokana na nini maana mimi huwa siupati hata nikikaribia ovulation siupati kabisa naombeni munisaidie kama kuna uwezekano hata wa kutumia dawa nami nikawa nao karibuni kuchangia
kweli mkuuUpo sawa mkuu au nendeni hospital mkamuone dokt
Sio ukali huwezi solve tatizo bila kuevaluate sources za tatizo. Doctor lazima akueleze kwanza ukweli.DAH MKUU HILO NENO LIMEKAA KIUKALI. NAHISI LIMEKOSA HEKIMA. STAY POSITIVE MZEE ACHA HIZO. MSAIDIE TATIZO HUSIKA
[emoji15] [emoji15] Duh! Wewe nomaa sasaTo be direct with no meandering : " U are over Used"
SASA KWANI WEWE NI DOKTASio ukali huwezi solve tatizo bila kuevaluate sources za tatizo. Doctor lazima akueleze kwanza ukweli.
ANGALIA SANA ULIMI WAKO KAMA HADI KWENYE MAZUNGUMZO HUWA UNA TABIA HIO BASI UTAWAKWAZA WENGI.Sio ukali huwezi solve tatizo bila kuevaluate sources za tatizo. Doctor lazima akueleze kwanza ukweli.
Kiukweli unahitaji deki. Pia mwambie mumeo awe anakuchezea kama 45 minutes mpaka huo unyevu nyevu utaupata. Mwambie awache kukurukia kama tingo wa daladala na akutengeneza kama samaki wa kupaka.[emoji6] [emoji39]Mwanamke kutopata ule ute ute hali hii inatokana na nini maana mimi huwa siupati hata nikikaribia ovulation siupati kabisa naombeni munisaidie kama kuna uwezekano hata wa kutumia dawa nami nikawa nao karibuni kuchangia