Kwan wew sio mzoefu?Ngoja wazoefu wa haya mambo waje
Hapana hapanaKwan wew sio mzoefu?
Shule zikifunga huwa tunapata shida sanaWakuu naomba kuuliza,huyu Manzi wangu nmekuwa nae mda, sasa hivi karibuni kna style nmempatia bas ana mwaga maji balaa, lakini inachukua mda kuanzia lisaa. Sasa tatzo mwenzangu anataka kila mkimenyana ayamwage,na kuyamwaga ndo kuanzia lisaa sasa imekuwa mtihani kwangu.
Af lingne hvi haya maji hayazuii utungwaji wa mimba? maana nahisi kama yanatoa sperm zote, coz nataka kumpa kitumbo!
Apo Mkuu Umenena, Ahsante sana.Shule zikifunga huwa tunapata shida sana
Ila ngoja nikushauri tu hivyo hivyo kwasababu nawe unataka msaada wa namna ya kumuweza mtu wako.
Ukweli ni kuwa kuna baadhi ya wanawake wanamwaga maji wakifikia kilele cha juu sana cha starehe wakati wa tendo. Ukimganya mwanamke amwageaamwageaji hayo ataking'ang'ania sana na hatakuacha, iwapo utaendelea kumpa utamu huo. Ukishindwa basi huwa kama jibwa lenyekichaa kwani huhaha mitaani kutafuta mwingine wa kumfanyia hayo.
Mambo ya kuzingatia ili uendelee kuwa nae mtu wako.
1: Jiamini, hapa unatakiwa kuwa huyo ni wako na kila utakachomwambia atafanya so ukimbuke ulimfanyia nini mpaka akafikia hatua hiyo? Mwamuru nae atatii na utamfurahisha. Acha papala kama upo na mke wa mtu.
2: Maandalizi,
muandae mwenza wako kwa muda mrefu (atleast 20-30 mins) na kwa ustadi wa hari ya juu. Hii kwa wanandoa ni nzuri kwasababu wanamuda wa kutosha,ila kwa mnaoiba muda wa tuition kufanya yenu poleni. Baadhi humwaga wakati wa maandalizi tu. So jitahidi kwa hilo.
3: Uziada katika mapenzi.
Kama unamwandaa mapenzi wako kwa namna Fulani au muda fulani basi unatakiwa kubadirika. Baadhi tuna mbinu moja tu mpaka mwenza wako anakalili kuwa utaanzia hapa, utafuatia hapa na kumaliza na hapa. Hii hupunguza msisimuko na atakuja kuchati na simu huku wewe unagegeda au unamuandaa. So usiwe njia moja kama treni na maandalizi yana mambo mengi.
Kwaleo niishie hapa, karibuni wengine kwa ushauri
By mwenyekiti hewa MMU
hahahahahahahahha kwa hiyo wachangiaji ni wamwaga maji mkuuu"????
nauliza tu
ok mkuu afadhali umeniweka wazi maana duuuh nishaogopa ujue.Hapana sina maana hiyo...Wengine ni WAMWAGIWA MAJI, WENGINE SIO...Wote kwa pamoja tunakutana hapa,, tupate kujifunza changamoto hii na jinsi ya kukabiliana nayo..Hivyo tu yaani!
ok mkuu afadhali umeniweka wazi maana duuuh nishaogopa ujue.
kikikikikkkkk
asante shem nakuelewa sasa. Unajua kati ya ndugu wa Stun waliokuwa Ulaya sikujua na wewe kumbe ni mmojawapo. Nilivyokuona nilikuwa nahisi mmarekani ati.Usiogope kabisa yaani..kuwa huru shem!
kabisa shem wake mie, ila nakuaminia unayaweza ila kumbuka ukiwa unatembea kwa mguu uwe unakumbuka kugeuka geuka nyuma kidogo na pia nahisi ni vyema kama ukiwa kwa mgari wako ule ufunge viooo uenjoy kiyoyozi cha gari.Sijapotea shem wake...Umesema jambo la muhimu sana, kwa tulipofikia kuna haja ya mtu kujifunza 'self defence techniques' kwa maana BONGO TZ hali si shwari
CC: MISS CHAGGAWakuu naomba kuuliza,huyu Manzi wangu nmekuwa nae mda, sasa hivi karibuni kna style nmempatia bas ana mwaga maji balaa, lakini inachukua mda kuanzia lisaa. Sasa tatzo mwenzangu anataka kila mkimenyana ayamwage,na kuyamwaga ndo kuanzia lisaa sasa imekuwa mtihani kwangu.
Af lingne hvi haya maji hayazuii utungwaji wa mimba? maana nahisi kama yanatoa sperm zote, coz nataka kumpa kitumbo!
Si mnagegedana kwa kubadilisha style na mahali, unagegeda kitandani ukiona kimechosha unampeleka sebuleni, ukiona bado tu jikoni, mnamalizia bafuni na kuogaYaani lisaaa zima managegedana tu [emoji5][emoji5][emoji5]
Na wewe hapo umeenda ngapi?
huko ureno hujawahi kutana nae? nauliza tuNapenda siku moja nikutane na mwanamke wa hivyo (Mmwaga maji)
Et mnafika pamoja, huwa mnakuwa mnaenda wapi? Jst to knowApo Mkuu Umenena, Ahsante sana.
Sema aspoyamwaga anamind, hlo halina shida ntakomaa nae.
Hofu yangu kubwa ilkuwa utungwaji wa mimba, coz sometyms tunafika pamoja, sa nikawa nahisi labda yale maji yanatoka na mbegu zote
kabisa shem wake mie, ila nakuaminia unayaweza ila kumbuka ukiwa unatembea kwa mguu uwe unakumbuka kugeuka geuka nyuma kidogo na pia nahisi ni vyema kama ukiwa kwa mgari wako ule ufunge viooo uenjoy kiyoyozi cha gari.
watu tushaanza kuwa kama Siria kidogo kidogo
Wanamwaga maji ovyo bila bili kusoma eeeh[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji12]