FemiCare β Feminine Cleanser
Sabuni Maalum Kwa Mwanamke
MWANAMKE:
Katika maisha yake hupitia vipindi vikuu vitano (5)
ambavyo Jamii nay eye binafsi ni muhimu kuwa
makini sana.
1. Kuvunja Ungo
2. Tendo la Ndoa
3. Mimba
4. Uzazi
5. Kukoma kwa Hedhi
Hakika takribani katika hatua zote Mwanamke
hutokwa na uchafu na damu, hii husababisha
matatizo makubwa akipunguza umakini.
-Japo kuna sababu ambazo anaweza Kujitibu au
kujikinga kama, Vyo vya Jumuiya, Nguo za ndani,
Nguo za kubana sana, Kukaa sehemu moja muda
mrefu, Tendo la Ndoa, na Uzazi wa Mpango.
: -Lakini Je, Inawezekana.?........... Ndio/
Hapanaβ¦β¦β¦β¦β¦β¦. Usijali kuna suruhisho hapa..!!
FEMI CARE:
UhuishaSeli kwa madini kutoka maliasili pamoja na
OKO-HITECH baharini kwa kutumia mbinu za
uchimbaji wa kiikolojia , madini machache
yanayopatikana kutoka Ziwa kubwa la Chumvi USA,
na mafuta ya asili ya muhimu ni kutoka kwenye
mimea pia ina vitamini nyingi, amino acid, and
vegatable antioxidative element.
Wataalamu wamethibitisha kuwa FemiCare ni Dawa
nzuri na salama imeisha tumika tayari kwa miaka
mia moja.
INAHUSIKA:
1. Inasaidia Uke kupambana na maambukizi.
2. Inaondoa majimaji machafu, harufu na miwasho
3. Inakinga vijidudu vinavyo sababisha upele
kwenye nywere hasa sehemu za siri, vidudu
kwenye mirija kama utumbo, Vidudu vinavyo
sambulia njia ya mkojo, Vidudu vya Fangasi na
Vijidudu vingine hatari kwa sehemu za siri
4. Huweka uke safi na kuukinga na maambukizi
5. Husaidia kuhuisha Seli.
Kwa kutibu na kukinga bacteria tumia mfurulizo
siku 7.
VIAMBATA:
Feminine shafishio, ina aina tatu za viambata
vikuu: Rejuvenating mineral elements kutoka
kwenye vianzo vya asili ΓKO-HITECH Marine
Ecological Extraction Technique, Compound trace
elements is extracted kutoka Umoja wa Nchi za
Marekani Great Salt Lake, na natural essential
mafuta ya mimea, kuchanganywa na maji yaliyo
safishwa na kutengenezwa maalumu kwa kuoshea
Ukeni. Pia imechanganywa na mineral elements,
trace elements, multiple vitamines, amino acid, and
vegatable antioxidative element.
MAELEKEZO:
A-Kutumia kuosha
1- Makini pima vifuniko 2-4 (17-34ml)
2- Weka kwenye Beseni la kukogea
3- Changanya dawa (Femicare) na maji ya
vuguvugu lita 5-10
4- Kaa kwenye Beseni ujisafishe ukeni kwa muda
wa Dakika 5-10.
B-Kutumia kuingiza Ukeni
1- Kwa makini weka vifuniko 2 (kama 17ml) ya
Femicare
2- Changanya vizuri Dawa na maji ya vuguvugu
40ml
3- Lala chali na ujiachie, Ingiza kifaa Ukeni.
Kandamiza mfuniko kuruhusu dawa kutoka, na
utulie kwa muda wa dakika 3-5
4- Osha kifaa kwa kuweka maji ya vuguvugu na
kuingiza Ukeni tena, Tulia kwa muda wa dakika
3-5 kisha ujisafishe.
β’ Kwa kutibu na kukinga bacteria tumia mfurulizo
siku 7 mpaka 10.
KUHUSU KIFAA:
ο Kifaa kimetengenezwa kulingana na ubora wa
GMP
ο Kifaa kina kifuniko na kibomba
ο Tafadhali safisha Kifaa na ukihifadhi kwenye eneo
kavu
ο Tafadhali kuwa makini kuepuka kisipokee
maambukizi.
ONYO:
ο§ Ni kwa matumizi ya nje
ο§ Ikiingia mdomoni wasiliana na Mtaalam
ο§ Haitumiki kwa Mwanamke Bikra, Mwenye Hedhi,
Mwenye Mimba na Anaye nyonyesha
ο§ Femicare haiziwii Mimba, wala haitibu magonjwa
ya zinaa, pelvic inflammatory disease
ANGALIZO:
1- Wenye maambukizi anaweza kupata maumivu
kwa siku chache, yakiendele siku 5 wasiliana na
Mtaalam
2- Usitumie kama una aleji
3- Ni nzuri kwa kukinga maambukizi
4- Weka kifaa katika usafi
5- Weka mbali na wanapofikia watoto.
UHIFADHI:
Linda isipatwe na mwanga wa jua, Hifadhi kwenye
sehemu kavu, Weka mbali na watoto.
UJAZO:
1- 180ml
2- Kifaa muhimu
piga simu namba 0655179074