AMAFUMU
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 221
- 113
Ndugu zangu wana JF naomba kujua nini tatizo kwa mwanamke kutokwa na damu kila anapofanya tendo la ndoa.
Ukiangalia inakuwa sio mchubuko wala sio kuwa yuko period, unakuta tu uume ukiingiea sehemu za kike anaanza kutoka damu na yeye hapati maumivu yoyote, wala haisi chochote zaidi ya kuona tu damu.
Naombeni msaada kwenye hili!
Ukiangalia inakuwa sio mchubuko wala sio kuwa yuko period, unakuta tu uume ukiingiea sehemu za kike anaanza kutoka damu na yeye hapati maumivu yoyote, wala haisi chochote zaidi ya kuona tu damu.
Naombeni msaada kwenye hili!