Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Hakauki kwa sababu ya skendo sio uzuri...Wema yuko poa ndio maana hakauki midomoni mwa Watanzania
Over
Ndo ile ya ratifa??MB Dogg alitoa album nzima hapo na bado akala cha mbavu...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We jamaa lazima utakuwa blonger wa Bongo5.
Unampamba bosi wako ili utetee ugali wako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata huyu wa kwangu nae ni maarufu hapa kwangu,nyumba nzima tunamjua
hiyo ni photoshop mkuu...wema sio mzuri hivo....amezeeka zaidiSamahani mkuu. Sijakulelewa!. Una maanisha nini?
Wema yuko poa ndio maana hakauki midomoni mwa Watanzania
Over
Jamani huyu mlimbwende kaolewa na mhindi, mzungu au???