Mwanamke maarufu mrembo kuliko wote Tanzania

Hahhahaha daah chekaa aisee maana kila mti ana wakee ampendaye ila hawezi kuwa naye
 
kuna Irene Uwoya.... au mnazungumzia uzuri upi?
 
Wema Sepetu is simply Gorgeous sema hajatambua kama ye ni next level,Ila Nancy naye is beautiful in her way...!
Wema Sepetu ni Gorgeoous! Duh! Lulu tu Wema hata robo haingii.
Tanzania kuna wanawake warembo wengi sana ila kila nikipepesa macho akili inarudi kwa huyu mrembo

Mzuri Kiakili na Kimwili NANCY SUMARI

wadau kama mna mawazo tofauti tupieni picha kupinga hili
View attachment 471369
 
Sadly ts the opposite, perhaps sio kujitambua,that's who she is...unataka kusema hajitambui??.
yap hajitambui na anazeeka sasa hata kazi anayofanya haieleweki amambwela mbwela tu
 
yap hajitambui na anazeeka sasa hata kazi anayofanya haieleweki amambwela mbwela tu
Inabd atafte danga moja limuoe,mana mamisi almost wote ukiangalia vipato vyao wanafanya shughuli gani unaweza usielewe wametoka kimaisha kwa kuolewa na wenye nazo,
 
Inabd atafte danga moja limuoe,mana mamisi almost wote ukiangalia vipato vyao wanafanya shughuli gani unaweza usielewe wametoka kimaisha kwa kuolewa na wenye nazo,
ndio atumie fursa sio kila siku anahangaika na vitoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…