Mwanamke miaka 40-60.

Tatizo ameweka tangazo tuu shaloo halafu mtu akikubeza we unajali nini?we uko cjui wapi huko hutegemei wala hutokaa uonanae na aliyekubeza why are stressing youself baby?watu wana stress wanazipunguzia hapa me mwenyewe najipanga kuleta tangazo langu litakavyokuwa yani nimeshaanza kufigure out majibu huku nacheka japo nitakuwa serious
 

Tafadhal huyu c kaka ni dada!
 
Eeeh... Afadhali na sie wabibi tumekuwa considered this time.. Ngoja nikatafute mpalo wa kujilipua siku nitakayoonana na mtoa tangazo ili niweze kushinda..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…