Emoji nyingi sana, wewe ndiwe mke ama mume kwenye hiyo ndoa?Nijuzeni jina la Mwanamke mlevi kwa kiswahili fasaha anaitwaje
Tupo na mke wangu hapa tunabishana ananitajia majina ya ajabu ajabu
Na jee mwanamke mlevi kwa kimombo anaitwaje?[emoji23]
My takeπombe sio chai[emoji23] mavazi ya mtu yasikuchanganye
Hii code waliosoma Cuba tu ndo wataelewa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ninaanza kumfuatilia mleta mada, na hivi anatumia Line ya Tigo, atajutaMange anawaharibu
Au wanam diddy? πEmoji nyingi sana, wewe ndiwe mke ama mume kwenye hiyo ndoa?
Km sio mpitaji wa Twitter huwezi kuelewa kitu, ndiomana kasema waliosoma cuba ndo wataelewa..!Kwahiyo Mleta mada na Mkewe wanakaa subuleni wanapiga tungi huku wakimfuatilia Mange π€£π€£π€£
Tufahamishe basi na sisi tuliosomea vijijini.Km sio mpitaji wa Twitter huwezi kuelewa kitu, ndiomana kasema waliosoma cuba ndo wataelewa..!
Fungua codes hizoKm sio mpitaji wa Twitter huwezi kuelewa kitu, ndiomana kasema waliosoma cuba ndo wataelewa..!