Mwanamke mmoja miongoni mwa waathirika wa kashfa ya ngono ajiua kuepuka aibu ya Baltasar Engonga aliyenaswa na Video 400 za ngono na wake wa viongozi

Mwanamke mmoja miongoni mwa waathirika wa kashfa ya ngono ajiua kuepuka aibu ya Baltasar Engonga aliyenaswa na Video 400 za ngono na wake wa viongozi

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Taarifa kutoka Equatorial Guinea zinaeleza Mwanamke mmoja anayedaiwa kuwa muathirika wa kashfa ya video za ngono za mwanasiasa wa Equatorial Guinea, Baltasar Ebang Engonga, amejiua ili kuondokaa na aibu baada kigogo huyo kunaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mbalimbali mashuhuri.

Aidha, Serikali ya Equatorial Guinea imewafuta kazi maafisa wote wa serikali ambao walihusishwa na kufanya mapenzi katika ofisi za wizara. Makamu wa Rais Teodoro Nguema amesema kuwa kitendo hicho ni ukiukwaji wa Kanuni za Maadili na sheria za nchi.

Pia, Soma: Guinea: Kigogo anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati
1730797278109.png
 
Nina wasiwasi hata mke wa Raisi kashaliwa, lakini wanaficha tu kuepusha fedheha na aibu kwa Raisi.

Hebu imagine wanachi wajue Raisi wao kagongewa mke...😄

Itakuwa ni ghadhabu kubwa sana.
Kuna vijamaa ni noma sana mpaka shetani mwenyewe anaogopa😄😄😄
Fikiria Yaani kajamaa kalikuwa na project ya kutembeza pira kwa wake za wakubwa na maarufu serikalini Yaani ni full kuwachapa nao😄😄😄
Nadhani hapa Bongo pia wapo ila hawajastukiwa tu
 
Wakuu

Taarifa kutoaka Equatorial Guinea zinaeleza Mwanamke mmoja anayedaiwa kuwa muathirika wa kashfa ya video za ngono za mwanasiasa wa Equatorial Guinea, Baltasar Ebang Engonga, amejiua ilikuondokaa na aibu baada kigogo huyo kunaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mbalimbali mashuhuri.

Pia, Soma:
+ Guinea: Kigogo anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati
Aidha, Serikali ya Equatorial Guinea imewafuta kazi maafisa wote wa serikali ambao walihusishwa na kufanya mapenzi katika ofisi za wizara. Makamu wa Rais Teodoro Nguema amesema kuwa kitendo hicho ni ukiukwaji wa Kanuni za Maadili na sheria za nchi.
Nini kilifanya dunia ikubaliane kuwa kufanya hicho kitendo kunazaa aibu
 
Hawa viongozi wakivaa Makoti Yao meusi unaweza kufikiri mambo ya kitoto Huwa hawafanyi kumbe ni balaa.Nina wasiwasi na Nchi Moja yenye sifa ya kutekateka watu huenda viongozi wake wanafanana na huyu engongia
 
Mke wako anapata visafari safari kazin kwake kila mara na ww unachekelea tu anapata favor kibao na ww upo kama zoba hawanaga akili hawa hata robo
Kuna jamaa mke wake anamegwa na wakurugenzi 2 wa halmashauri tofauti huko Kigoma

Na kama haitoshi afisa elimu wa halmashauri anayofanyia kazi naye anamega, WTF!


 
Back
Top Bottom