SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Ukisikia Mshahara wa Dhambi ni Mauti hii ni sehemu yake tu..!Wakuu
Taarifa kutoka Equatorial Guinea zinaeleza Mwanamke mmoja anayedaiwa kuwa muathirika wa kashfa ya video za ngono za mwanasiasa wa Equatorial Guinea, Baltasar Ebang Engonga, amejiua ili kuondokaa na aibu baada kigogo huyo kunaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mbalimbali mashuhuri.
Aidha, Serikali ya Equatorial Guinea imewafuta kazi maafisa wote wa serikali ambao walihusishwa na kufanya mapenzi katika ofisi za wizara. Makamu wa Rais Teodoro Nguema amesema kuwa kitendo hicho ni ukiukwaji wa Kanuni za Maadili na sheria za nchi.
Pia, Soma: Guinea: Kigogo anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati
Kuna jamaa ana jina linaelekeana na lakitanzania alivuma sana huko West Africa tukashupalia ana asili ya Tanzania, hata huyo wa sasa tusimkwepe ni wetuUnataka kusemaje mkuu, tumfuate raia wetu au una maana gani? ๐ ๐
Huyo Ngongo ana sura ya kitanzania ๐ผ
Jamani Hawa wanawake tuendelee mupasiana kama vile wanapasiana wachezaji mpira. Nope nikuoe. Dah Raha sana hii duniaNina wasiwasi hata mke wa Raisi kashaliwa, lakini wanaficha tu kuepusha fedheha na aibu kwa Raisi.
Itakuwa ni ghadhabu kubwa sana.
Mkodisheni Papaa Msofe ๐คฃ๐คฃ..hiki ndicho wapinzani walitakiwa wafanye kwa Ccm.
..Mdude Nyagali adonyoe nusu ya wake wa wajumbe wa ccm-nec halafu arushe mtandaoni.
..mfyuuu!
Kabisa mkuu, atakuwa PANDIKIZI la ccm huyoHuyo Ngongo ana sura ya kitanzania ๐ผ
๐๐๐๐Kabisa mkuu, atakuwa PANDIKIZI la ccm huyo
Sura imekaa kama kale kajamaa ka mwezi wa kwanza๐คฃHuyo Ngongo ana sura ya kitanzania ๐ผ
Hiko ni kichwa Mzee,.Uyo na P did sijui nani yupo juu
Jamaa anatembeza sio kawaida, na hio 400 ni kuififisha skendal inasemakana wanafika 900.Wanawake 400 Mmmmm!! hapo vumbi la kongo lilitumika pia
Juzi kati kuna jamaa yangu mmoja kagundua watoto wote watatu kachapiwa ndoani , kahamia bar anamkia kazini humo humo๐๐๐Jamani Hawa wanawake tuendelee mupasiana kama vile wanapasiana wachezaji mpira. Nope nikuoe. Dah Raha sana hii dunia
Huo binafsi nauita ushamba,iwapo alilazimishwa sawa unaweza fikiria mbali kiasi hicho,ila kama aliridhia wakati huo kwa kuchungulia maokoto,hakuwa na sababu ya maamuzi ya kujidhulumu.Japo wote hawafanani,katika mazingira kama yake wangeweza wakatokea wajinga wakaona ni fursa ya kujipatia umArufu.Hivyo maisha yana milima na mabonde.Iwapo walijikuta katika hali hiyo angetafakari tu namna ya kuwa mpole na kubadili aina ya maisha na mawasiliano na jamii kwa kipindi fulani na maisha mengine yangeendelea kama awali.Wakuu
Taarifa kutoka Equatorial Guinea zinaeleza Mwanamke mmoja anayedaiwa kuwa muathirika wa kashfa ya video za ngono za mwanasiasa wa Equatorial Guinea, Baltasar Ebang Engonga, amejiua ili kuondokaa na aibu baada kigogo huyo kunaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mbalimbali mashuhuri.
Aidha, Serikali ya Equatorial Guinea imewafuta kazi maafisa wote wa serikali ambao walihusishwa na kufanya mapenzi katika ofisi za wizara. Makamu wa Rais Teodoro Nguema amesema kuwa kitendo hicho ni ukiukwaji wa Kanuni za Maadili na sheria za nchi.
Pia, Soma: Guinea: Kigogo anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati
Africans are good at theft, ngono ane pombe.Wakuu
Taarifa kutoka Equatorial Guinea zinaeleza Mwanamke mmoja anayedaiwa kuwa muathirika wa kashfa ya video za ngono za mwanasiasa wa Equatorial Guinea, Baltasar Ebang Engonga, amejiua ili kuondokaa na aibu baada kigogo huyo kunaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mbalimbali mashuhuri.
Aidha, Serikali ya Equatorial Guinea imewafuta kazi maafisa wote wa serikali ambao walihusishwa na kufanya mapenzi katika ofisi za wizara. Makamu wa Rais Teodoro Nguema amesema kuwa kitendo hicho ni ukiukwaji wa Kanuni za Maadili na sheria za nchi.
Pia, Soma: Guinea: Kigogo anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati
๐๐๐Sura imekaa kama kale kajamaa ka mwezi wa kwanza๐คฃ
Inaweza kuwa kauliwa, lakini ndiyo stahili yake.Wakuu
Taarifa kutoka Equatorial Guinea zinaeleza Mwanamke mmoja anayedaiwa kuwa muathirika wa kashfa ya video za ngono za mwanasiasa wa Equatorial Guinea, Baltasar Ebang Engonga, amejiua ili kuondokaa na aibu baada kigogo huyo kunaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mbalimbali mashuhuri.
Aidha, Serikali ya Equatorial Guinea imewafuta kazi maafisa wote wa serikali ambao walihusishwa na kufanya mapenzi katika ofisi za wizara. Makamu wa Rais Teodoro Nguema amesema kuwa kitendo hicho ni ukiukwaji wa Kanuni za Maadili na sheria za nchi.
Pia, Soma: Guinea: Kigogo anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati
Wewe una uhakika aliwagonga au alikuwa anawapiga picha tu na kimoko cha kuku?Wengi wa masikini huwa wanajua sana kujifariji eti matajiri hatuna nguvu za kiume mara sijui wanavibamia Sasa Jana wamejionea wake zao wanavyogongwa na tajiri kutoka guinea yaani wanawake zaidi ya mia 400 na kawachakaza vibaya San aisee wazee msijifariji matajiri tuna hatari tunapiga paipu na tuna ndonga za maana
Aisee, mahusiano nayo๐Juzi kati kuna jamaa yangu mmoja kagundua watoto wote watatu kachapiwa ndoani , kahamia bar anamkia kazini humo humo๐๐๐